Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure. Copy and pasteJiunge na internet banking hizo huduma unapata.
hizo benk zote nishajiunga ila Equit n kiboko kwa hudumaJiunge na internet banking hizo huduma unapata.
sawa maamuz yakoKwanza hata hizo hela za kiweka bank sina mie..🤨
Kila ninacho kipata lazima kinaenda kufanya kazi flani mazee...
Na yalianzaga huko crdb na nmb ndio hao wengine wakafuataHapa nimenunua tu muda wa maongezi wananitumia had email
EQUIT wako vizuri aisee…..Hizi benki zetu zinazidiwa na kabank ka kenya…nchi nusu jangwa kama sahala inawazidi TANZIA
Hiyo ni benk ya kenya we jamaa si tanzaniaNa yalianzaga huko crdb na nmb ndio hao wengine wakafuata
EQUITMbona nmb na crdb zipo vizuri tu.
Shida mkoa mmoja ATM mojaEQUIT
huhitaji kwenda na kadi wala kitambulisho kutoa hela ni fingerprint tu
Yaan mambo hawajamaa wanarahisisha sana
Najua ni ya kenya na imeingia bongo miaka ya 2013 ..Hiyo ni benk ya kenya we jamaa si tanzania
Nimeipenda hii ya fingerprintEQUIT
huhitaji kwenda na kadi wala kitambulisho kutoa hela ni fingerprint tu
Yaan mambo hawajamaa wanarahisisha sana
hawa jamaa hawakuulizi ID wala kadi details zako zote wwnazo wana kuscan tu kidole unapewa hela yakoNimeipenda hii ya fingerprint
Sasa unavosema wamekopy ulikua unamaanisha nn??Najua ni ya kenya na imeingia bongo miaka ya 2013 ..
Bado hawajawa na wateja wengi kiivo lakini wata expandShida mkoa mmoja ATM moja
Nani anaweza hiso shughuli? Usinambie kwa wakala,, double deductions wengine hatuwezi.
Wewe unaongelea email services au fingerprint?Sasa unavosema wamekopy ulikua unamaanisha nn??
crdb kuna finger print??
Advancement katika matumizi ya technologiaWewe unaongelea email services au fingerprint?
Mkuu NBC wanayo hiyo huduma pia.EQUIT
huhitaji kwenda na kadi wala kitambulisho kutoa hela ni fingerprint tu
Yaan mambo hawajamaa wanarahisisha sana