Okay, wamejitahidi kuweka menu ambazo ndio utupeleka bank mala kwa mala mfano bank statement, kujua salio, kufanya mihamala, kukokotoa masula ya mkopo nk, uzuri wake haipo slow yani ukilog in menu zake zinafunguka na kurepond haraka sana, mfano kama unatumia NMB mobile unaingiza namba yako ya NMB mobile na pass word yako baada ya hapo unaweza kuacces na inakuletea tarifa zako zote za kibank
Uzuri no kwamba sasa ukiwa na bando tu la interest unafanya utakacho tofauti na NMB mobile ambayo baadhi ya mitandao ya sm iliitaji uwe na salio kwenye sm ndio uweze kuaccces NMB Mobile.