NMB Tanzania
Official Account
- Sep 13, 2014
- 94
- 231
- Thread starter
- #21
Asante sana Ndugu Utandu,Hongereni mmejitahidi, nimeipakua nakuijaribu kuitumia ipo vizuri sana, mmejitahidi.
sasa ni muda wa kuwaunganisha Watanzania wote na huduma za kibenki kwa urahisi zaidi, ni ku KLiK tu