NMB kutoka Benki ya Makabwela hadi Mlipa Kodi mkubwa namba 1 nchini, legacy ya hayati Mkapa na Mzee Mbowe

NMB kutoka Benki ya Makabwela hadi Mlipa Kodi mkubwa namba 1 nchini, legacy ya hayati Mkapa na Mzee Mbowe

NBC ilipogawanywa na Kuzaliwa Benki mbili NBC na NMB zilipigwa kelele nyingi Sana

Lawama nyingi zikamwendea mtemi Chenge akiwa AG wakati huo

Leo NMB Ndio inaongozwa kwa kulipa Kodi TRA

Kongole kwao Ben Mkapa na George Mbowe, wapumzike kwa amani

Ahsanteni sana 😄
George Mbowe ndiyo nani nchi hii? Acha kuchomeka watu wa ajabu×2
 
George Mbowe ndiyo nani nchi hii? Acha kuchomeka watu wa ajabu×2

..George Mbowe alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa kwanza wa Tume ya Ubinafsishaji / kurekebisha mashirika umma au PSRC.

..George Mbowe nadhani asili yake ilikuwa mikoa ya nyanda za juu Kusini. Hakuwa na mahusiano na Freeman Mbowe.
 
NBC ilipogawanywa na Kuzaliwa Benki mbili NBC na NMB zilipigwa kelele nyingi Sana

Lawama nyingi zikamwendea mtemi Chenge akiwa AG wakati huo

Leo NMB Ndio inaongozwa kwa kulipa Kodi TRA

Kongole kwao Ben Mkapa na George Mbowe, wapumzike kwa amani

Ahsanteni sana 😄

..ilimradi utaje jina Mbowe!!

..NBC haikubinafsishwa wakati John Rubambe akiwa Mtendaji Mkuu?

..pia usisahau lawama alizopewa Waziri wa Fedha Daniel Yona ktk ubinafsishaji wa NBC.
 
..George Mbowe alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa kwanza wa Tume ya Ubinafsishaji / kurekebisha mashirika umma au PSRC.

..George Mbowe nadhani asili yake ilikuwa mikoa ya nyanda za juu Kusini. Hakuwa na mahusiano na Freeman Mbowe.
George, Freeman na Oscar Kambona wanahusiana 🐼
 
..George Mbowe alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa kwanza wa Tume ya Ubinafsishaji / kurekebisha mashirika umma au PSRC.

..George Mbowe nadhani asili yake ilikuwa mikoa ya nyanda za juu Kusini. Hakuwa na mahusiano na Freeman Mbowe.
Kazi sana, vijana wanakurupuka tu
 
NBC ilipogawanywa na Kuzaliwa Benki mbili NBC na NMB zilipigwa kelele nyingi Sana

Lawama nyingi zikamwendea mtemi Chenge akiwa AG wakati huo

Leo NMB Ndio inaongozwa kwa kulipa Kodi TRA

Kongole kwao Ben Mkapa na George Mbowe, wapumzike kwa amani

Ahsanteni sana 😄
Hii kitu ilileta maneno na tukaambiwa Mkapa ameiuza hii Bank
 
Mi naingalia hii habari kwa jicho tofauti kabisaaa kama ni kweli.

Yaani, ina maanisha akina crdb wanakwepa kulipa kodi au?

Mitandao ya simu?
DP World?
TBL?
Sigara(TCC)?
Cement?
Oil and Gas entities?
Mining industries?
Etc

Unataka kusema NMB ndo mlipa kodi mkubwa nchi hii? Kwa hiyo mishahara ya watumishi wa umma?
- Basi ni bora tuwape maua yao watumishi wanaokatwa PAYE na VAT katika kila kitu.

Hii ardhi inaibiwa haswa!
 
..Yona hukuwa naye THB?🤣

..Na Mramba hukuwa naye NDC?🤣
Hapana

Wakati ule tulitambulishana kwa Majengo

Niko NIC house 🐼

Mimi Niko Bank house 😀

Miye Niko Ushirika 🤣

Mimi Niko Tancot house 😀

Naniliu yuko Kitega uchumi😂

Deshi Deshi yuko Custom house 😀😀

Nk
...nk
 
Back
Top Bottom