johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
George Mbowe ndiyo nani nchi hii? Acha kuchomeka watu wa ajabuΓ2NBC ilipogawanywa na Kuzaliwa Benki mbili NBC na NMB zilipigwa kelele nyingi Sana
Lawama nyingi zikamwendea mtemi Chenge akiwa AG wakati huo
Leo NMB Ndio inaongozwa kwa kulipa Kodi TRA
Kongole kwao Ben Mkapa na George Mbowe, wapumzike kwa amani
Ahsanteni sana π
George Mbowe ndiyo nani nchi hii? Acha kuchomeka watu wa ajabuΓ2
NBC ilipogawanywa na Kuzaliwa Benki mbili NBC na NMB zilipigwa kelele nyingi Sana
Lawama nyingi zikamwendea mtemi Chenge akiwa AG wakati huo
Leo NMB Ndio inaongozwa kwa kulipa Kodi TRA
Kongole kwao Ben Mkapa na George Mbowe, wapumzike kwa amani
Ahsanteni sana π
Kama umezaliwa 2000 hilo siyo tatizo langu πΌGeorge Mbowe ndiyo nani nchi hii? Acha kuchomeka watu wa ajabuΓ2
John Rubambe nilikuwa naye NIC baadae akapelekwa CRDB Kuongoza πΌ..ilimradi utaje jina Mbowe!!
..NBC haikubinafsishwa wakati Rubambe akiwa Mtendaji Mkuu?
..pia usisahau lawama alizopewa Waziri wa Fedha Daniel Yona ktk ubinafsishaji wa NBC.
George, Freeman na Oscar Kambona wanahusiana πΌ..George Mbowe alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa kwanza wa Tume ya Ubinafsishaji / kurekebisha mashirika umma au PSRC.
..George Mbowe nadhani asili yake ilikuwa mikoa ya nyanda za juu Kusini. Hakuwa na mahusiano na Freeman Mbowe.
John Rubambe nilikuwa naye NIC baadae akapelekwa CRDB Kuongoza πΌ
Rafiki yake Mwaipopo wewe mwagito.John Rubambe nilikuwa naye NIC baadae akapelekwa CRDB Kuongoza πΌ
Vijana mna tabu sana, yaani ukiona jina Mbowe akili yako inakupeleka kwenye siasa tuGeorge Mbowe ndiyo nani nchi hii? Acha kuchomeka watu wa ajabuΓ2
Kazi sana, vijana wanakurupuka tu..George Mbowe alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa kwanza wa Tume ya Ubinafsishaji / kurekebisha mashirika umma au PSRC.
..George Mbowe nadhani asili yake ilikuwa mikoa ya nyanda za juu Kusini. Hakuwa na mahusiano na Freeman Mbowe.
Hii kitu ilileta maneno na tukaambiwa Mkapa ameiuza hii BankNBC ilipogawanywa na Kuzaliwa Benki mbili NBC na NMB zilipigwa kelele nyingi Sana
Lawama nyingi zikamwendea mtemi Chenge akiwa AG wakati huo
Leo NMB Ndio inaongozwa kwa kulipa Kodi TRA
Kongole kwao Ben Mkapa na George Mbowe, wapumzike kwa amani
Ahsanteni sana π
We ungejibu tu huyo mtu ni naniVijana mna tabu sana, yaani ukiona jina Mbowe akili yako inakupeleka kwenye siasa tu
Hapana..Yona hukuwa naye THB?π€£
..Na Mramba hukuwa naye NDC?π€£