President Elect
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 693
- 212
Mimi ni mteja wa benki zaidi ya tano hapa nchini, nikijumuisha akaunti za bishara na nyingine za akiba kwa matumizi binafsi.
Kilichonifurahisha kama wiki mbili zilizopita nikiwa njiani kwenda Tunduma (mpakani mwa Zambia na Tz) ilinibidi kusimama kidogo mjini Mafinga, nikaingia benki ya NMB kufanya direct tranfer kwenye akaunti ya supplier kulipia mzigo. Nilikuta wametenga dirisha maalum kupokea fomu za funds transfer, hivyo ndani ya muda mfupi nilihudumiwa na kuendelea na safari yangu. Kwa kweli niliridhishwa na huduma niliyopata ukiachilia mbali muonekano mpya wa jengo na camera za cctv, vitu ambavyo zamani havikuwepo.
Big up NMB Mafinga Branch, keep it up!
Kilichonifurahisha kama wiki mbili zilizopita nikiwa njiani kwenda Tunduma (mpakani mwa Zambia na Tz) ilinibidi kusimama kidogo mjini Mafinga, nikaingia benki ya NMB kufanya direct tranfer kwenye akaunti ya supplier kulipia mzigo. Nilikuta wametenga dirisha maalum kupokea fomu za funds transfer, hivyo ndani ya muda mfupi nilihudumiwa na kuendelea na safari yangu. Kwa kweli niliridhishwa na huduma niliyopata ukiachilia mbali muonekano mpya wa jengo na camera za cctv, vitu ambavyo zamani havikuwepo.
Big up NMB Mafinga Branch, keep it up!