NMB: Makato mapya kwa wateja wa NMB yaja yakiwa yameongezeka mara mbili zaidi ya sasa?

Inategenea na tawi uliloenda. Hiyo ya sahihi iliishawahi nitokea ila yule mhudumu ya customer care ilibidi ageuze computer nione sahihi ya zamani then nisiikosee, ila ni baada ya kuona picha iliyopo pale ni yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa ni waongo jamani nimefanya salio nmb klink nimekatwa zaidi ya 15000 c sawa hata kidogo jamani mtu unahisi unaeahisisha maisha Kumbe ndio unajididimiza
 
USHAWAHI WEKA EQUITY BANK..KUFUNGUA ACCOUNT BURE HAMNA MAKATO YA MWEZI IWE ACCOUNT YA USD AU TSH SIDHANI KAMA KUNA BANKI IPO CHEAP ZAID YAKE@Victor wa happy,

READERS ARE LEADERS
cc
VITABU
kuna baadh ya mikoa/maeneo hii bank haipo kwa hyo watu wanakimbilia nmb crdb kwa sababu ya urahis wa upatkanaji wa ATM zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…