ISLETS
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 8,120
- 5,352
Inategenea na tawi uliloenda. Hiyo ya sahihi iliishawahi nitokea ila yule mhudumu ya customer care ilibidi ageuze computer nione sahihi ya zamani then nisiikosee, ila ni baada ya kuona picha iliyopo pale ni yangu.Hakuna benki ya kijinga kama hii kubadilisha sahihi tu inachukua miaka 2 nilipotezaga kadi ya benki nilipata shida sana kila siku kutoa hela ndani mara wanauliza sahihi haifanani onana na meneja...nashukuru niliikausha akaunti sasa hivi wamebaki kutuma ujumbe mara usitaje namba yako ya siri etc etx
Sent using Jamii Forums mobile app