NMB mjirekebishe, mnakera sana huduma ya mikopo kwa watumishi wa umma

Halafu wanakata processing fee ya Nini wakati
1.fomu unazunguka nayo kusaini wilayani.
2.kuprocess mkopo ni kazi yao,kwa Nini uwalipe kwenye kazi yao? Wakati Kuna faida wanachukua? Ina maana Ile faida hawawezi kata processing fees mule?
 
Poleni sana watumishi wa umma. Fikirieni kuwa na SACCOS zenye nguvu ili kuondokana na usumbufu na unyonyaji wa wakopeshaji wanaotaka faida kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…