Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
Daahh, shangaa sasa mkuu.Mkuu hela ya mboga 400k!?
Sijapata sms mpaka sasa.. Ila risiti niliyopata imenitoa mashaka..Ukipata sms wanakukata...
Pole mkuu
Ndio mkuu..Mkuu hela ya mboga 400k!?
Wakuu, Jana nimekwenda kwa wakala kutoa hela ya mboga kidogo kama 400k
Hua sipendi dharau kama hiziWakuu, Jana nimekwenda kwa wakala kutoa hela ya mboga kidogo kama 400k ila nashangaa hadi leo hii sijapata SMS kwenye simu yangu kutoka NMB mkononi na nimejiunga toka kitambo na kila transaction niliyokuwa nafanya awali nilikuwa na pata SMS.
Hii inakuwaje wataalam maana napenda sana hii issue inaniweka aware kabisa kuhusu mihamamala ya account yangu.
Tena ni dharau za kijinga, upumbavu na upofu.Hua sipendi dharau kama hizi
Nanukuu"hela ya mboga kidogo kama 400k" uchumi wa katitujitahidi kuchangia tozo ili watoto wa wakulima wasomeWakuu, Jana nimekwenda kwa wakala kutoa hela ya mboga kidogo kama 400k ila nashangaa hadi leo hii sijapata SMS kwenye simu yangu kutoka NMB mkononi na nimejiunga toka kitambo na kila transaction niliyokuwa nafanya awali nilikuwa na pata SMS.
Hii inakuwaje wataalam maana napenda sana hii issue inaniweka aware kabisa kuhusu mihamamala ya account yangu.
Wakuu, Jana nimekwenda kwa wakala kutoa hela ya mboga kidogo kama 400k ila nashangaa hadi leo hii sijapata SMS kwenye simu yangu kutoka NMB mkononi na nimejiunga toka kitambo na kila transaction niliyokuwa nafanya awali nilikuwa na pata SMS.
Hii inakuwaje wataalam maana napenda sana hii issue inaniweka aware kabisa kuhusu mihamamala ya account yangu.
Kunasikuutapigwa ela ukae miezi 2 ndoujue ela ya mboga na nmb mobile vizuriWakuu, Jana nimekwenda kwa wakala kutoa hela ya mboga kidogo kama 400k ila nashangaa hadi leo hii sijapata SMS kwenye simu yangu kutoka NMB mkononi na nimejiunga toka kitambo na kila transaction niliyokuwa nafanya awali nilikuwa na pata SMS.
Hii inakuwaje wataalam maana napenda sana hii issue inaniweka aware kabisa kuhusu mihamamala ya account yangu.