MBUFYA
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 445
- 68
Mimi ni mtumiaji wa huduma hiyo..Jana mida ya saa 12jioni nilitumia huduma hiyo kuhamisha pesa kutoka account ya Bank kwenda M pesa, pesa bank ilihama, cha ajabu kwenye M pesa account haijafika mpaka leo..... nimepiga huduma kwa wateja nmb, majibu ninayopewa yanasikitisha na hakuna suluhisho,...Ki ukweli nimekwama mno kwani hiyo pesa inahitajika haraka, na moja kati y majibu yao...'PESA HIYO NAWEZA CHUKUA SIKU TANO ZA KAZI KURUDI'
Nataka kuwashtaki, nanze wapi wakuu?
Nataka kuwashtaki, nanze wapi wakuu?