NMB mshahara umeingizwa?

Mshahara haujatoka.Na inasemekana Nchi imefilisika kiasi kwamba hakuna hata hele ya kuwalipa wafanyakazi.Mama anahaha auze ardhi ya wapi ili kupata pesa.
 
Mshahara haujatoka.Na inasemekana Nchi imefilisika kiasi kwamba hakuna hata hele ya kuwalipa wafanyakazi.Mama anahaha auze ardhi ya wapi ili kupata pesa.
Unafanya kazi kwa wahindi labda salary imeshakata tayari wewe unakuja na ngonjera za kijingajinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…