Wakuu leo niko Handeni huku Mkoani Tanga kwenye mishe zangu!
Kutokana na business nilizofuata ikanilazimu niende bank ya NMB kufanya transaction!
Bahati mbaya nikiwa kwenye foleni nikisubiri kuhudumiwa umeme ukakatika!
Huwezi amini huduma zilisimama eti tusubiri hadi umeme urudi! Sijawahi kuona kioja hiki kwenye benki mbalimbali nilizo kwenda kupata huduma! Benki haina jenerator??
Una kaa kwenye foleni masaa karibia mawili, wamebaki watu wawili uhudumiwe umeme unakatika, usubirie umeme ambao hujui utarejea saa ngapi??
Huku ni kushindwa kazi aisee!
Kutokana na business nilizofuata ikanilazimu niende bank ya NMB kufanya transaction!
Bahati mbaya nikiwa kwenye foleni nikisubiri kuhudumiwa umeme ukakatika!
Huwezi amini huduma zilisimama eti tusubiri hadi umeme urudi! Sijawahi kuona kioja hiki kwenye benki mbalimbali nilizo kwenda kupata huduma! Benki haina jenerator??
Una kaa kwenye foleni masaa karibia mawili, wamebaki watu wawili uhudumiwe umeme unakatika, usubirie umeme ambao hujui utarejea saa ngapi??
Huku ni kushindwa kazi aisee!