NMB niwasumbufu kutoa mikopo

NMB niwasumbufu kutoa mikopo

ndomyana

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2012
Posts
5,630
Reaction score
2,169
Tanzania hii kuna shida sana taaasisi zake ni za hovyo kabisa. Unaomba mkopo wa boashara mara ya pili toka nmb kukupa tu ni tatizo ukiwauliza hawana majibu. Uneza kidhi vigezo vyote ila watumishi wake wanakuwekea urasimu usio na maana badirikeni la sivyo taasisi za nje zitatawala apa nchini. Hovyo kabisa
 
Kurenew mkopo mi procedure ya mwezi mzima nawambieni hamtafika popote kwa huu ujinga wenu.
 
Kurenew mkopo mi procedure ya mwezi mzima nawambieni hamtafika popote kwa huu ujinga wenu.
Issue hizo unazoita mikopo uwe na heshima ,Ni pesa za watu wameweka kuna muda nao wana matumizi nazo

Usifikirie zile pesa unazokopeshwa ni za Bank ,Sio za bank hata kidogo ni pesa za wateja wengine kama wewe sema kwa wakati fulani hawana matumizi nayo ndio bank inakukopesha wewe

Mkuu kuna wakati bank zinapambana kupata deposit au pesa kwa wateja ili waweze kukukopesha wewe na wengine

Kama unaona kitu rahisi jaribu wewe kuweka pesa zako bila kuzitumia kwa miaka 5 au 7 ili benk ikopeshe wengine

Mikopo ina sheria zake ,Bank haikopeshi kama njugu au maharage

Kuna kiwango cha deposit ndio unaruhusiwa ukopeshe

Yawezekana NMB wamefika limit kwa BOT regulation kwa mwezi huo hivyo wanatafuta deposit zaidi

Bank sio pyramid scheme kama Desi au kalyanda,Bank zipo regulated na BoT

Unaruhusiwa kukopesha bila kuvunja margin/limit au ratios

Wewe unataka kukopa tu lakini kuweka hutaki,Bank itatoa wapi pesa za kukopesha kama nyie wawekaji mnaenda kuzichukua kila siku na kila mwezi

Think about it

Usilaumu tu ,Hapa JF ni kisima cha maarifa

Kama una swali kuna expert zaidi yangu watakusaidia pia

Have a nice day na uwe na subra
 
Issue hizo unazoita mikopo uwe na heshima ,Ni pesa za watu wameweka kuna muda nao wana matumizi nazo

Usifikirie zile pesa unazokopeshwa ni za Bank ,Sio za bank hata kidogo ni pesa za wateja wengine kama wewe sema kwa wakati fulani hawana matumizi nayo ndio bank inakukopesha wewe

Mkuu kuna wakati bank zinapambana kupata deposit au pesa kwa wateja ili waweze kukukopesha wewe na wengine

Kama unaona kitu rahisi jaribu wewe kuweka pesa zako bila kuzitumia kwa miaka 5 au 7 ili benk ikopeshe wengine

Mikopo ina sheria zake ,Bank haikopeshi kama njugu au maharage

Kuna kiwango cha deposit ndio unaruhusiwa ukopeshe

Yawezekana NMB wamefika limit kwa BOT regulation kwa mwezi huo hivyo wanatafuta deposit zaidi

Bank sio pyramid scheme kama Desi au kalyanda,Bank zipo regulated na BoT

Unaruhusiwa kukopesha bila kuvunja margin/limit au ratios

Wewe unataka kukopa tu lakini kuweka hutaki,Bank itatoa wapi pesa za kukopesha kama nyie wawekaji mnaenda kuzichukua kila siku na kila mwezi

Think about it

Usilaumu tu ,Hapa JF ni kisima cha maarifa

Kama una swali kuna expert zaidi yangu watakusaidia pia

Have a nice day na uwe na subra
bank haikopeshi kama njugu au maharage??? ulikua unamaanisha nn hapa
 
Back
Top Bottom