inspectorbenja
JF-Expert Member
- Oct 14, 2012
- 597
- 651
NMB, wameondoa huduma ya salary advance bila taarifa yoyote kwa wateja. Tunaomba taarifa itolewe au huduma irudishwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tembeza blockHawa nmb wananikera kuniletea matangazo ya mikopo ambayo Mimi siyahitaji.
Wablock 🤣🤣Hawa nmb wananikera kuniletea matangazo ya mikopo ambayo Mimi siyahitaji.
Nikiblock nitakuwa sipate sms alert kama Hela imetika au umewekwa.Tembeza block
sawaNikiblock nitakuwa sipate sms alert kama Hela imetika au umewekwa.
Alitaka advance kabla ya saa 24 !?Ipo mkuu, sema haifanyi kazi hadi masaa 24 yapite tokea mshahara uingie.
Asilimia kubwa ya wabongo wana chembechembe za wizi ndani yao, si walipaji wa mikopo ni vile tu mifumo inawabanaLabda wapo kufanya marekebisho,mwishoni mwa mwezi wa 10 ama wa 11 sijui ilikuaje wakasahau kukata deni kwawaliokopa advance salary, asee watu walichomoa chap nazan walikatwa kwene mshahara uliofuata
Yaan hata mim kila wakat napokea mesej,Hawa nmb wananikera kuniletea matangazo ya mikopo ambayo Mimi siyahitaji.
Za ndaaaaaani salary advance zitaanza kutoka Januaryi 7 ili mnunulie watoto mahitaji ya shule kwa maana shule zitafunguliwa tarehe 13/1/2025!NMB, wameondoa huduma ya salary advance bila taarifa yoyote kwa wateja. Tunaomba taarifa itolewe au huduma irudishwe.
Ipo njianiNMB, wameondoa huduma ya salary advance bila taarifa yoyote kwa wateja. Tunaomba taarifa itolewe au huduma irudishwe.
Sawaa boss wetu mshukuru Mungu kwa hilo,yaani nikiona mtu anateseka n maswala ya mshahara nacheka sana japo sio mazuri
Hawa jamaa siku hizi wamekuwa wa hovyo sana. Hata huduma ya Mshiko Faster nayo ni majanga. Unalipa halafu ukiomba tena hawakupi wanakuja na hoja dhaifu mara miamala imepungua ndio maana hupati na porojo nyingine nyingi tu.Ipo mkuu, sema haifanyi kazi hadi masaa 24 yapite tokea mshahara uingie.