jaffari odhiambo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 526
- 13
kwa hiyo dada anna umekuja kujipigia promo huku....
Huyo mama mdomo ndo kawaida yake, mara nyingi sijui anaitwa mama mchungi ,kama sikosei ana majibu ya mwaka hujapata kuona, sidhani kama ni professional banker hana ethics za customer care haswa huduma za ki bank ambazo zinatakiwa kuwa friendly