MGOGOHALISI
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 3,294
- 4,920
Yaaani watu tumejaa foleni wafanyakazi wanapiga stori huku wamemweka mtu mmoja dirishani.
Hata kama mmetoka sikukuu mjue muda wa kazi huu. Naandika uzi huu nikiwa kwa foleni inakera sana.
Hata kama mmetoka sikukuu mjue muda wa kazi huu. Naandika uzi huu nikiwa kwa foleni inakera sana.