NMB waongeza riba kwa watumishi

NMB waongeza riba kwa watumishi

TLAWI AKONAAY

Senior Member
Joined
Sep 16, 2016
Posts
110
Reaction score
62
taasisi ya fedha yaongeza kiwango cha riba
1483989190726.jpg
 
TANGAZO HILI LINAWAHUSU WOTE WALIOKOPA NA WANAOTARAJIA KUKOPA.

Ina maana hata ambao Walikopa kwenye 18%wanahusika kwenye hiyo 22%?
 
Hivi Discount rate ya BOT ni ngapi?.. anyways BOT yenyewe nasikia ndo inataka kukopa (issuing treasury bills & bonds) so lazima interest zipande tu.. tupo katika contractionary fiscal policy. nili expect interest rates zitapanda ila sikudhani kam itakua this soon.
 
Kuna mchezo hapa unafanywa na hawa akina BBlue, Faidika, Bayport nk. Siamini kama hii hili ndio tangazo la benki makini....yaani karatasi zenye nembo ya benki zimeisha?
 
Nmb Acheni ubaguzi wa mikopo. At afisa mkopo NMB Same kadai above 53 yrs hukopeshwi coz serikali inahakiki umri. Hebu wakuu hii nayo ikoje?
 
TANGAZO HILI LINAWAHUSU WOTE WALIOKOPA NA WANAOTARAJIA KUKOPA.

Ina maana hata ambao Walikopa kwenye 18%wanahusika kwenye hiyo 22%?
Huo ndio ujinga wa mabenki, they only about profits
 
Mikopo ya benki za Tanzania labda uwe unauza bangi ndiyo utaweza kulipa,Riba zake kubwa sana.(J.K.Nyerere)
Ha ha ha ha ha ha ha ni kweli kabisa ndugu. Yaani benki tanzania ni miongoni mwa mifumo ya udhurumishi na utapeli kiwango cha kimataifa.

Kwanza hawapo kumpa financial support & security mtu wa kipato cha chini. Wapo kwaajiri ya kumnyonya na kumdhurumu kidogo alicho nacho. Kulikoni kuwa na account ya benki tanzania bora uwe unahonga mwanamke utapata faida ya mgegedo. Ndio maana watu wengi hawana account za benki tanzania na hawana hata haja nazo. Na kwa walio nazo labda ni kwa uhitaji maalumu kama kutumiwa pesa aidha za zawadi, kufanyia manunuzi nchi za nje, kupokea malipo au mishahara. Ila wengi wao account zipo ila hazina purukushani hata kidogo. Benki ni wezi wezi.


Mikopo yao ina muda mfupi sana wa kurejesha ambao unakinzana na hali ya uchumi slow tulio nao. Hii inaelezea picha halisi ya kwanini watu wengi mikopo iliwaponza badala ya kuwa msaada. Wanaomudu mikopo ni watu wenye pesa nyingu sana ambao huchukua si kwasababu wanahitaji ila kama option ya ziada. Ila kiukweli mikopo haina msaada kwa mtu wa chini kabisa ni sumu kubwa na sishauri akachukue hata iwaje.
 
Hivi Discount rate ya BOT ni ngapi?.. anyways BOT yenyewe nasikia ndo inataka kukopa (issuing treasury bills & bonds) so lazima interest zipande tu.. tupo katika contractionary fiscal policy. nili expect interest rates zitapanda ila sikudhani kam itakua this soon.
So, wataka nambia bado tupo katika mkakati wa kupunguza mzunguko wa pesa ili fedha ipande thamani, maana kwakweli hadi sasa imeanza kupanda thamani taratibu.

Buku kumi inaanza kuwa lulu na si noti ya kugawagawa kwa vimada.
 
Kuna mchezo hapa unafanywa na hawa akina BBlue, Faidika, Bayport nk. Siamini kama hii hili ndio tangazo la benki makini....yaani karatasi zenye nembo ya benki zimeisha?
NMB ni benki ya kienyeji sana. Usishangae wakaprint tangazo kwenye karatasi ambayo inachata ya kampuni nyingine.

Hawapogi serious kwakweli.
 
Hilo tangazo ni la tangu Jan.Vp watu wameongezewa makato?
 
Back
Top Bottom