NMB

NMB

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Mastabata kotekote ndio mchongo wa kijanja, tumia NMB Mastarcard kufanya malipo na ujishindie pesa taslimu, pikipiki au safari ya Dubai.

[emoji3062][emoji3062][emoji3062][emoji3062][emoji3062][emoji3062]
 
Mastabata kotekote ndio mchongo wa kijanja, tumia NMB Mastarcard kufanya malipo na ujishindie pesa taslimu, pikipiki au safari ya Dubai.

[emoji3062][emoji3062][emoji3062][emoji3062][emoji3062][emoji3062]
Sawa, afisa masoko wa hovyo.

Kwa nini iwe safari ya Dubai? Na siyo safari ya Mbuga zetu za wanyama ili kuchagiza ukuaji wa Sekta ya Utalii nchini?
 
Sawa, afisa masoko wa hovyo.

Kwa nini iwe safari ya Dubai? Na siyo safari ya Mbuga zetu za wanyama ili kuchagiza ukuaji wa Sekta ya Utalii nchini?
Sawasawa kabisa, why Dubai (wasione vyaelea), na tunaserengeti yetu na ngorongoro
 
Waambie waache kutuma hilo limeseji,wengine dubai tunapoana kama kariakoo tu hapo,
 
Mastabata kotekote ndio mchongo wa kijanja, tumia NMB Mastarcard kufanya malipo na ujishindie pesa taslimu, pikipiki au safari ya Dubai.

[emoji3062][emoji3062][emoji3062][emoji3062][emoji3062][emoji3062]
Mbona Ghafla hivi kwani, CCM wamekuchosha au wamekutosa?
 
Mastabata kotekote ndio mchongo wa kijanja, tumia NMB Mastarcard kufanya malipo na ujishindie pesa taslimu, pikipiki au safari ya Dubai.

[emoji3062][emoji3062][emoji3062][emoji3062][emoji3062][emoji3062]
Uzi wa kujipatia madem
 
Back
Top Bottom