Nmeishiwa nguvu baada ya mke wangu kunijulisha hili

Fakyuol

Senior Member
Joined
Nov 26, 2023
Posts
148
Reaction score
325
Habar za mida...wakuu

Kuna kitu mke wangu..amenambia nkajikuta naishiwa nguvu kabisa

Nmeoa na tuna watoto wawili

Wakike na wakiume

Wakiume ana umri wa miezi sita sasa..anaelekea wa saba by January 2024

Jana wife... Kanambia kuna ktu amegundua kwa huyu mtoto wa kiume

Na ishu yenyewe ni kwamba....uume wake n muda sasa
Hajawah ushuhudia ukiwa umesimama!!!!

..
Anahisi asimamishi!! Kaisha chunguza saaaana kwa ukaribu

..
Naombeni ushauri....kwa utaalam..na uzoefu mlonao pia
Mnahisi ishu kama hii .........naimalizaje MWENZENU!!!!!!!!!
 
Mweke uraibu aangalie kiduchu tu halafu wewe angalia mnara wa chumbe utasimama au umelala ovyoo.
 
Wacha waje wakueleze ila hilo ni tatizo
 
Itakuwa kamrithi baba yake
#nawasilisha!!
 
Mpe video bya x
 
Mtoa mada weka ushirikiano mzuri na mkeo atakwambia tu kumbuka kama kitovu kiliangukia kwenye mtaimbo ata hospital hawezi kutibu tupe mrejesho tukusaidie
kumbeee kitovu kikiangukia dudu nivibaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ