Nmeishiwa nguvu baada ya mke wangu kunijulisha hili

Nmeishiwa nguvu baada ya mke wangu kunijulisha hili

Habar za mida...wakuu

Kuna kitu mke wangu..amenambia nkajikuta naishiwa nguvu kabisa

Nmeoa na tuna watoto wawili

Wakike na wakiume

Wakiume ana umri wa miezi sita sasa..anaelekea wa saba by January 2024

Jana wife... Kanambia kuna ktu amegundua kwa huyu mtoto wa kiume

Na ishu yenyewe ni kwamba....uume wake n muda sasa
Hajawah ushuhudia ukiwa umesimama!!!!

..
Anahisi asimamishi!! Kaisha chunguza saaaana kwa ukaribu

..
Naombeni ushauri....kwa utaalam..na uzoefu mlonao pia
Mnahisi ishu kama hii .........naimalizaje MWENZENU!!!!!!!!!
Mtoto anaweza kuwa na chango linaloweza kusababisha hali, si rahisi kupoteza uwezo wake bila sababu kama mwanzoni jogoo alikua anawika vizuri.

Kuwa wazi mwanzoni jogoo alikua anawika vzr??? Km jibu ni Yes, hiyo ni ishu ndogo tu kwa wataalam muhimu kuiwahi hiyo hali mapema.
 
Tafadhali fika hospital mapema ili tatizo lianze kufanyiwa kazi mapema Mungu amjalie atapona
 
Kama ni suala la kitovu haina namna msubiri afike mwaka na nusu mama yake afanye mambo no way out....uliza wazee watakusaidia hapo au option nyingine aende tanga kwa mganga...

Ila kama kazaliwa hivyo hapo lazma hospitali...

Kuhusu kitovu muulize mama yake huwa mara nyingi wana kumbukumbu kilitokaje...

Pole na pambana..!
 
Mkuu pole, ila kama mimba ya pili mlitumia njia za kisasa katika kupanga uzazi hayo ndo matokeo yake, kijana wangu wa kwanza ni balaa mnara unasoma kila wakati kwakuwa mama yake hakutukia njia za uzazi wa mpango, mtoto wa pili yaani tulianza kupta tabu na kushituka kama wewe.

Amekuja kuanza kusimamisha akiwa na miezi kama mitano,ila bado usimamaji wake ni wa kiudhaifu ukilinganisha na kijana wangu wa kwanza.
 
Aisee hiv haya mambo kumbe ni kwel?
mke wangu hakua akilala usiku kucha kitovu cha dogo kilipokua kinakaribia kukatika. Yan mpaka nilikua namuonea huruma. Aliniambia kuwa kina uhusiano na kusimamisha.

Wahi hospital uwasikie wanasemaje mana kwa umri wa miezi 7 dogo alitakiwa kuwa anasimamisha hasa hasa kanavyokojoa mara nying asubh
 
Yaani miaka saba mtoto baba bado hujagundua tatizo hakikisha siku ukiwa nyumbani waogeshe watoto wako au asbh wakienda kukojoa wafuatioie mimi lqzima nchunguze hata mkojo unarukaje umbli gani rangi ya mkojo lazima niangalie
 
Habar za mida...wakuu

Kuna kitu mke wangu..amenambia nkajikuta naishiwa nguvu kabisa

Nmeoa na tuna watoto wawili

Wakike na wakiume

Wakiume ana umri wa miezi sita sasa..anaelekea wa saba by January 2024

Jana wife... Kanambia kuna ktu amegundua kwa huyu mtoto wa kiume

Na ishu yenyewe ni kwamba....uume wake n muda sasa
Hajawah ushuhudia ukiwa umesimama!!!!

..
Anahisi asimamishi!! Kaisha chunguza saaaana kwa ukaribu

..
Naombeni ushauri....kwa utaalam..na uzoefu mlonao pia
Mnahisi ishu kama hii .........naimalizaje MWENZENU!!!!!!!!!
Wahi hospital
 
Mbona unaleta mambo yako ya familia huku kabla hata hujaenda hospitali ? Ona mizaa ilivyo mingi. Hizi teknolojia kuweni nazo makini. Nenda kwanza hospitali ukikwama ndio uje uombe ushauri hapa. Tujifunze kitunza faragha zetu.
 
Back
Top Bottom