Nmewapa off madem zangu wote siku ya 4 leo,.Yaan nna aman na furaha,alone home,kimyaa,

Napoleone

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2012
Posts
10,087
Reaction score
16,036
Aisee sjawai kua na furaha na aman kama hiz siku nne na nmewambia narud tareh mbili,hahaha,kumbe niko alone home kwangu ni muvi,Natgeo,discovery,kina kardashian,yaan,najipikia makuku tu,raha sana,hahahah,.kumbe sometime hatuwahitaj eeh.nmegundua hili
.
 
Ile safari yako ya miezi sita ulishaenda na umerudi?
 
Mmh uchoyo huo ungeita hta ndugu au rafiki yako. sikukuu yote hii upo alone.tchaaah!
 
Mmh uchoyo huo ungeita hta ndugu au rafiki yako. sikukuu yote hii upo alone.tchaaah!
Yaan huwez amin,nahitaj utuliv wa hal ya juu,..yaan nataka nikae ndan tuu wik nzima hii hata kutoka nje stak,the yr was rough ,ndo napumzika nw,hata ndugu zangu wanaelewa hili.so nao wameridhia kunipa a break,tunawasiliana kwenye sim inatosha
 
kuna mda mtu unakuwa hutaki bugudha tu. unaenjoi sana but haitakiwi ipitilize inakuwa ni ubinafsi.
 
Utulivu ni jambo muhimu sana,, kuna muda hata wife unampa likizo na huko aliko unamwambia hata simu zipungue upate afya ya ubongo na utulivu wa nafsi
 
Kumbe choyo alafu kuku waweza kuta ni broiler [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
raha sana kukaa mwenyewe saivi nataka nikaboost akili kidogo alafu nije kushika padi mpaka nilale kwenye coach
 
Je ukitembelewa na jini mahaba si ataweka makao ya kudumu hapo uwapuge wote kabisa ukose na watoto
 
Utulivu ni jambo muhimu sana,, kuna muda hata wife unampa likizo na huko aliko unamwambia hata simu zipungue upate afya ya ubongo na utulivu wa nafsi
Hahahah,aisee utulivu ni kitu muhim,sana,..vizinga navyo unavipumzisha,hahah
 
raha sana kukaa mwenyewe saivi nataka nikaboost akili kidogo alafu nije kushika padi mpaka nilale kwenye coach
Hahahahahahahahaha,kabsaa mkuu
 
Reactions: ywf
Je ukitembelewa na jini mahaba si ataweka makao ya kudumu hapo uwapuge wote kabisa ukose na watoto
Jin mahaba atoke wapi,mi nasali sana wewe,Yesu anatawala maisha yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…