Ulikuwa na umri gani? Ulishapata ngapi?lol...Lizy nidhani we ndo una mimba. Mi nilifurahi sana na ilipokelewa kwa shangwe kubwa.
jibu lililonijia kichwani mara ya kwanza.....kaitoe(joke)!!!
Haijalishi uliikimbia, mliishia kutoa ama mlilea. Siku mwenzio alipokwambia "Nna mimba". . . "Nahisi/nadhani nna mimba!" ulijisikiaje?
Na wewe mdada/mama ulipogundua/hisi una mimba ulijisikiaje?
Mawazo gani yaliwapitia kichwani??
Just CURIOUS. . . .