sukariyawarembo
Senior Member
- Aug 2, 2019
- 167
- 115
Wanajamvi habar zenu.
Aisee mimi leo nimebeti,,sijabeti takriban miaka 2 sasa leo nmepata hela ya ziada na haina kazi(nimehongwa),sasa nikaamua nibeti timu nne tu.
Barca
Juve
Man city
PSG.
Zote kushinda kwa dau la laki moja.,
Sasa wadau naombeni mnipe moyo maana nna presha atari,apa ata mechi hazijaanza nmeanza kuwa na presha.
Ushauri wenu jaman.
Aisee mimi leo nimebeti,,sijabeti takriban miaka 2 sasa leo nmepata hela ya ziada na haina kazi(nimehongwa),sasa nikaamua nibeti timu nne tu.
Barca
Juve
Man city
PSG.
Zote kushinda kwa dau la laki moja.,
Sasa wadau naombeni mnipe moyo maana nna presha atari,apa ata mechi hazijaanza nmeanza kuwa na presha.
Ushauri wenu jaman.