umu ndani mtu anayoyaandika HAINA TOFAUT NA MAISHA YAKE YA UKWELI
KIMJAAZHO MTU NDO KITOKACHO....ATA UJIFANYE KUPRETEND VP UKIPITIA POST ,MICHANGO MBALIMBALI YA MTU FULANI KWA SIKU MOJA UNAWEAZ JUA UYU MTU ANA TABIA GAN....
yaan unasema kabisa mmhh uyu mtoto,
uyu nyangema,
uyu mnyanyasaji,
uyu mke wake ana kazi,
uyu ana mafagio,
uyu mpole,
uyu mcheshi maneno ming,
uyu anatania uyu anamaanisha na ndvyo alivyo
ahhh kuna watu wanafanya behavior nini sjui kwa kuzingatia michango na maoni ya watu tofaut km ivi...p,m shost wee TUNENE kdg..