Mh... sijui nimekosea jukwaa au?/ where is Maria Roza au Ivuga?Umesha wahi kuhudhuria promosheni za Heineken?
kuna mabinti wakatika hao ni balaa.
kila nikiwa bar, halafu Heineken wakiwa wanafanya promotion zao, walah muda wote wa shoo Mzee Juma anakuwa amekasirika kwa hamu ya kuwapata hao mabinti.
teh teh !!!
inabd ajieleze akichek POLICE aliyenae ....ah maelezo nyoshaaaaaaaaaaaaa moja ..mbili...MCHEZO?
oooooops dili limeungua
umefumaniwa?
jifanye kuna mtu alikuwa anatumia akaunt yangu isnt me beb..
Yaani ni kweli Rose kuna wanaume walivyo tu hapa JF nasemaga wake zao wana kazi....manake unaweza kuwa unamsubiria mtu kwa hasira,only kupigiwa simu amezimia yuko hospitali.......kumbe alikotoka anakujua mwenyewe,unaanza kumpa pole na hata kulia pole mume wangu.........yaani......:thinking:
Mh... sijui nimekosea jukwaa au?/ where is Maria Roza au Ivuga?
ha ha ha ha ha, amdanganye nani Rose,mie huyo???
Anajua nilikozaliwa na kukulia,nami najua mwisho wa akili yake,haniwezi ye atulie tu,alikosea kuwa nami.......
Wale mabinti mi siwataki kabisa....
Mheshimiwa simruhusu kwenda bar peke yake, kama hataki kuongozana na mimi basi tunanunua na tunanywea ndani.
nazjaz kwani wewe hauwezi zungusha mauno kama wale???
Mauno ya kitandani na ya kucheza mziki tofauti ndugu yangu.
Sitaki mheshimiwa asogee huko kwa kuwa wanaume wanatamani kwa kuona.
umu ndani mtu anayoyaandika HAINA TOFAUT NA MAISHA YAKE YA UKWELI
KIMJAAZHO MTU NDO KITOKACHO....ATA UJIFANYE KUPRETEND VP UKIPITIA POST ,MICHANGO MBALIMBALI YA MTU FULANI KWA SIKU MOJA UNAWEAZ JUA UYU MTU ANA TABIA GAN....
yaan unasema kabisa mmhh uyu mtoto,
uyu nyangema,
uyu mnyanyasaji,
uyu mke wake ana kazi,
uyu ana mafagio,
uyu mpole,
uyu mcheshi maneno ming,
uyu anatania uyu anamaanisha na ndvyo alivyo
ahhh kuna watu wanafanya behavior nini sjui kwa kuzingatia michango na maoni ya watu tofaut km ivi...p,m shost wee TUNENE kdg..
mauno ya kitandani na ya kucheza mziki tofauti ndugu yangu.
Sitaki mheshimiwa asogee huko kwa kuwa wanaume wanatamani kwa kuona.
[/COLOR]
Duhhh,kumbe sijakosea,yaani mimi hufikiri kama ulivyosema,kazi kweli kweli kuwa na waume wa aina hizo......yaani nasomaga comment nafikiria weeee,nasema GOD FORBID.........lol:laugh:
Hapo kwa bluu,jamani hadi nikajiuliza huyu Rose kanisusa au??mimi iko PM wewe sasa.........
Yaani ni kweli Rose kuna wanaume walivyo tu hapa JF nasemaga wake zao wana kazi....manake unaweza kuwa unamsubiria mtu kwa hasira,only kupigiwa simu amezimia yuko hospitali.......kumbe alikotoka anakujua mwenyewe,unaanza kumpa pole na hata kulia pole mume wangu.........yaani......:thinking:
ushawai kuwachek KITU T KITU K?
WAtoto wa bugurun sjui mwananyamala wale dahhhh achaaaaa....vtu vnaclap hands nakwambia...wale wanakatika diaphram pelvis gidle wanaichinja....nenda ukawachek wanakwepo club continental j5...
asante mwaya
Aiiiiiiiiii wewe!!!!!
Hivi hapa tunadiscuss 'booty clapping' ama nini?