No 3 points for Yanga, no TFF

No 3 points for Yanga, no TFF

DATAZ

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2012
Posts
3,799
Reaction score
10,196
Ifike mahali ukweli usimame na uongo/ulaghai ushindwe. Kuna udhaifu mkubwa sana katika uongozi wa TFF iwe ni kwa sababu za maksudi au kwa ukosefu wa weledi.

Pengine ni wakati Sasa Uongozi wa TFF ujifakari na uachie ngazi. Huwezi Kiongozi taasisi nyeti kama TFF ilihali moyoni umejaa Mahaba na timu Fulani au ikiwa huna weledi kabisa wa kusimamia na kutafsiri kanuni na taratibu zinaoongoza michezo.

Maamuzi ya derby ya Jana ni ushahidi tosha wa TFF kushindwa kusimamia tasnia ya football nchini.

Kama TFF itakosa weledi namna hii, kwanini tusiamini hata makosa yanayofanywa na waamuzi yana mizizi huko huko?
 
Ninyi WATANZANIA hakuna mnalolijua mkalifanya kwa usahihi,Sio mpira tu kila kitu hamuwezi.NA TATIZO LA TANZANIA NI VIONGOZI HASA WA SIASA.
 
Ifike mahali ukweli usimame na uongo/ulaghai ushindwe. Kuna udhaifu mkubwa sana katika uongozi wa TFF iwe ni kwa sababu za maksudi au kwa ukosefu wa weledi.

Pengine ni wakati Sasa Uongozi wa TFF ujifakari na uachie ngazi. Huwezi Kiongozi taasisi nyeti kama TFF ilihali moyoni umejaa Mahaba na timu Fulani au ikiwa huna weledi kabisa wa kusimamia na kutafsiri kanuni na taratibu zinaoongoza michezo.

Maamuzi ya derby ya Jana ni ushahidi tosha wa TFF kushindwa kusimamia tasnia ya football nchini.

Kama TFF itakosa weledi namna hii, kwanini tusiamini hata makosa yanayofanywa na waamuzi yana mizizi huko huko?

Utaratibu wa Timu kupewa pointi 3 baada ya timu nyingine kutofika uwanjani upoje? Maana:

1. Ilitakiwa Yanga wafike uwanjani muda wa mchezo husika.

2. Kuwe na viongozi wote wa mechi husika wakiwemo makamishina na refarii uwanjani ambaye atawaongoza waingie uwanjan muda ukifika.

3. Saa moja na robo refarii angepuliza kipyenga kuashiria kuanza kwa mchezo.

4. Refarii angesubiria timu nyingine iingie uwanjani kwa muda wa dakika 15.

5. Baada ya dakika 15 kutimia bila timu nyingine kuingia uwanjani, refarii angemaliza mechi na timu iliyokuwepo uwanjan ingepewa ushindi na alama 3.

Je! kwa jana hayo yote yalikamilika ili Yanga wapewe ushindi na alama 3 kama kichwa cha habari cha bandiko hili kinavyodai?
 
Tff inaendesha mpira wetu, kama ccm inavyoendesha nchi.
 
Utaratibu wa Timu kupewa pointi 3 baada ya timu nyingine kutofika uwanjani upoje? Maana:

1. Ilitakiwa Yanga wafike uwanjani muda wa mchezo husika.

2. Kuwe na viongozi wote wa mechi husika wakiwemo makamishina na refarii uwanjani ambaye atawaongoza waingie uwanjan muda ukifika.

3. Saa moja na robo refarii angepuliza kipyenga kuashiria kuanza kwa mchezo.

4. Refarii angesubiria timu nyingine iingie uwanjani kwa muda wa dakika 15.

5. Baada ya dakika 15 kutimia bila timu nyingine kuingia uwanjani, refarii angemaliza mechi na timu iliyokuwepo uwanjan ingepewa ushindi na alama 3.

Je! kwa jana hayo yote yalikamilika ili Yanga wapewe ushindi na alama 3 kama kichwa cha habari cha bandiko hili kinavyodai?
Kwa nini hawakufika uwanjani wakati ratiba inafahamika?
 
Kwa nini hawakufika uwanjani wakati ratiba inafahamika?
Wasimamizi wa mechi husika (yani Makamishina na Refarii) huwezi kuwatenganisha na Bodi ya Ligi, ndo hao hao....kwa hyo jibu ni kwamba hawakufika kwa sababu walitoa tangazo la kuahirisha mechi wakiwa ofisini..
 
Back
Top Bottom