Naunga mkono...maana vijana wanakesha kucheza kamali(betting).
Baada ya kuliwa wana nunua Kvant wana changanya na Energy drink.
Baada ya hapo wanaenda kutafuta malaya wa buku 5 Wale wanao jiuza.
Kesho yake ana simulia mechi ya Simba na Yanga.
HALOOH TUNAHITAJI MKOMBOZI AMA TURUDI UTUMWANI LA SIVYO KIZAZI KINA TEKETEA.