Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Pole sana uto
Mtajua hamjui tuu siku ikifika
Nasikia eti kwa sasa wanajiita Mariam Biriani Fc! Wana mambo hao watani zako!!!
kwanini usimtegemee mvp wa vpl kwa tafsiri nyingine kwenye izi timu hwa watu wapo angalia barcelona real madrid enzi za cr7 chelsea enzi za didier na kina hazard haya mambo kwenye mpira yapo unachotakiwa ukifanye niufunge kwa maombi kwenye mechi ya utopolo asiwepo
Yaan simba ni chama na chama ndio simba
Kifupi simba bila chama hamna kitu
Nyie si Marehem kabisaaMnapumulia machine ICU.
Nyie si Marehem kabisaa
Wanaandika utopolo wanakoment utopolo.Simba akiwinda huwa hapigi kelele.Ukisikia Simba ananguruma ujue ameshiba.Kelele ni tabia za vyura.