No Clatous Chama, No Party!

No Clatous Chama, No Party!

Kichwa Kichafu

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2017
Posts
44,855
Reaction score
189,385
Nimeangalia watani zangu leo, kwa kweli wana hali ni dhohofu lihali na mbaya sana.

Triple C anatengeneza big chances nyingi sana na ananyambulika vizuri sana ila hawa wachezaji wengine sawa na wagonjwa walio ICU.

Kwa hali hii watani zangu hali ni mbaya nimeanza kuwasikitikia maana wanasema wanaenda mashindano ya mabingwa Africa.

Huko kwa upepo huu wa No Chama, No Party mtatia aibu taifa.
 
Nini maana ya kikosi kipana sasa?
kwanini usimtegemee mvp wa vpl kwa tafsiri nyingine kwenye izi timu hwa watu wapo angalia barcelona real madrid enzi za cr7 chelsea enzi za didier na kina hazard haya mambo kwenye mpira yapo unachotakiwa ukifanye niufunge kwa maombi kwenye mechi ya utopolo asiwepo
 
20201101_162750.png
20201101_162750.png
 
Back
Top Bottom