Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Nimeangalia watani zangu leo, kwa kweli wana hali ni dhohofu lihali na mbaya sana.
Triple C anatengeneza big chances nyingi sana na ananyambulika vizuri sana ila hawa wachezaji wengine sawa na wagonjwa walio ICU.
Kwa hali hii watani zangu hali ni mbaya nimeanza kuwasikitikia maana wanasema wanaenda mashindano ya mabingwa Africa.
Huko kwa upepo huu wa No Chama, No Party mtatia aibu taifa.
Triple C anatengeneza big chances nyingi sana na ananyambulika vizuri sana ila hawa wachezaji wengine sawa na wagonjwa walio ICU.
Kwa hali hii watani zangu hali ni mbaya nimeanza kuwasikitikia maana wanasema wanaenda mashindano ya mabingwa Africa.
Huko kwa upepo huu wa No Chama, No Party mtatia aibu taifa.