Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
- Thread starter
- #21
Kesho si mbali usikimbie jukwaani boss.Mvua ikinyesha kidogo ni kelele za vyura zinazidi hautakuwa kichwa kichafu bali kichwa empty
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesho si mbali usikimbie jukwaani boss.Mvua ikinyesha kidogo ni kelele za vyura zinazidi hautakuwa kichwa kichafu bali kichwa empty
Mimi kama shabiki wa simba aka miki nasema tutafungwa 6G
Ee mungu wasaidie mabingwa wa kihistoria watushindilie kipigo cha Vpn mpaka akili itukae sawa tuzikumbuke B20 AMEN
Wanazuga tu chama yupo
Fei toto
Au mtu mmoja anaitwa Juma nyangeMidfielder Bora Kabisa Huyo Dogo!
Wanaandika utopolo wanakoment utopolo.Simba akiwinda huwa hapigi kelele.Ukisikia Simba ananguruma ujue ameshiba.Kelele ni tabia za vyura.
Macho yako yanaona kama mimi, yule Middo alikuwa Alliance FC sijui kapotelea wapi. Dogo anajua sana nadhani tatizo ni kutojitambua au hana Wakala mzuri.Au mtu mmoja anaitwa Juma nyange
Yupo mtibwa sugar kaka nani regular stater wa mtibwa eneo la kiungoMacho yako yanaona kama mimi, yule Middo alikuwa Alliance FC sijui kapotelea wapi. Dogo anajua sana nadhani tatizo ni kutojitambua au hana Wakala mzuri.
Anza kujisikitikia mwenyewe kwa kutojua kuandika. Pia wasikitikie yanga wenzio wasio na mashindano ya kimataifa. Always wa vimechi vya ndan kwa ndanNimeangalia watani zangu leo, kwa kweli wana hali ni dhohofu lihali na mbaya sana.
Triple C anatengeneza big chances nyingi sana na ananyambulika vizuri sana ila hawa wachezaji wengine sawa na wagonjwa walio ICU.
Kwa hali hii watani zangu hali ni mbaya nimeanza kuwasikitikia maana wanasema wanaenda mashindano ya mabingwa Africa.
Huko kwa upepo huu wa No Chama, No Party mtatia aibu taifa.
Usimtukane mamba kabla hujavuka mto, weka akiba ya maneno. Safari badoAnza kujisikitikia mwenyewe kwa kutojua kuandika. Pia wasikitikie yanga wenzio wasio na mashindano ya kimataifa. Always wa vimechi vya ndan kwa ndan
4GMimi kama shabiki wa simba aka miki nasema tutafungwa 6G
Ee mungu wasaidie mabingwa wa kihistoria watushindilie kipigo cha Vpn mpaka akili itukae sawa tuzikumbuke B20 AMEN
Mbona kicheko mkuu ??[emoji23][emoji23][emoji23]
Utopolo huyo anachekelea Chama kwenda na Kisinda kwa Ibenge Morroco.Mbona kicheko mkuu ??