Mawembasa1979
JF-Expert Member
- Feb 26, 2015
- 2,540
- 3,333
Angekuwa anatoka Zambia angeshabebwa zamani.Midfielder Bora Kabisa Huyo Dogo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angekuwa anatoka Zambia angeshabebwa zamani.Midfielder Bora Kabisa Huyo Dogo!
Mkuu nasikitika watani zangu naona wana hali mbaya sana.Mbona kicheko mkuu ??
[emoji23][emoji23][emoji23]Team haifi...tumetumia B21 ndani ya miaka4..Sasa tunataka irudi hiyo hela haraka iwezekanavyo ndani ya muda mfupi[emoji23][emoji23]tunajaribu kuona hata kama tunawez kuuza na baadhi ya mashabiki ili tufidie hiyo hela kwa haraka[emoji23][emoji23]
Kibanda cha mbwa.Wameleta kibanda eti
Wafanye transfer in nzuri sasa.[emoji23]Kaondoka tayari
Haina haja ya kuongeza mkuu, mbona tayari jamaa ana 100% tayari, aliwauliza mikia eti nina 49% ninaweka Bilion 20 na ninyi wanachama mna 51% mnaweka nini kwenye timu?[emoji23][emoji23][emoji23]
Inabidi hapo tuongeze hata zile 49% za mwamedi zifiki hata 62%.
Kuchi kuchi hotae sasa anauza wachezaji wakubwa na kusajili watotosiioni tena simba
Umenikumbusha zile mechi ambazo simba wamepoteza kwenye ligi. Chama hakuwapo mechi zote zile.Yaan simba ni chama na chama ndio simba
Kifupi simba bila chama hamna kitu