Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Huko south afrika ameonekana kijana mwenye kipaji hatari South Afrika.
Swali huyu ni mtoto wa nani?
Swali huyu ni mtoto wa nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watu hufanana tuhMbona ni copy ya Gaucho
Hata wewe ukivaa hizo jezi ukafuga nywele na kuzipaka kalikiti na kujifunga usongo , halafu ukamalizia kwa kuacha mdomo wazi meno yaonekane, na wewe tutasema 'No DNA'Huko south afrika ameonekana kijana mwenye kipaji hatari south afrika.
Swali huyu ni mtoto wa naniView attachment 2736310
Umeandika kiswahili cha "kizamani" hadi nimecheka sana.Hata wewe ukivaa jrzi hizo ukafuga nywele na kuzipaka kalikiti ma kujifunga usongo , halafu ukamalizia kwa kuacha mdomo wazi meno yaonekane, na wewe tutasema 'No DNA'
Usongo?😃Umeandika kiswahili cha "kizamani" hadi nimecheka sana.
..."kuzipaka kalikiti"...!(curl-kit)Usongo?😃
Gaucho..Huko south afrika ameonekana kijana mwenye kipaji hatari south afrika.
Swali huyu ni mtoto wa naniView attachment 2736310
Ka ha haaa..."kuzipaka kalikiti"...!(curl-kit)
hivy dinyo alishawahi hata kutembelea tu south?Huko south afrika ameonekana kijana mwenye kipaji hatari south afrika.
Swali huyu ni mtoto wa naniView attachment 2736310
Nani ?Mtoto wa Baba yake.
😂😂Hata wewe ukivaa jezi hizo ukafuga nywele na kuzipaka kalikiti na kujifunga usongo , halafu ukamalizia kwa kuacha mdomo wazi meno yaonekane, na wewe tutasema 'No DNA'
Kwani anaitwa nani?Huko south afrika ameonekana kijana mwenye kipaji hatari south afrika.
Swali huyu ni mtoto wa naniView attachment 2736310
Hili la Yanga naona watu wamelikalia kimya au ndio wanamfichia aibu mwamba.Yanga walitazame hili