MzalendoHalisi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2007
- 4,679
- 1,612
people from the area could not speak English. Do we need a foreigner to do work such as housekeeping or gardening
Tanzania Standard Newspapers|Home
1. Jamani hata kazi kutandika kitanda..kufagia lazima kujua Kiingereza?
2. Basi viongozi wa maeneo haya wawe na mkakati kuwa na English Course kwa watu wao!
Yaani maeneo haya hamna waliotoka form IV an VI wanaojua Kiingereza?
Wandugu...nini tatizo?
Ndugu zangu Wazanzibari - mpo?