NO Fair Competition kwa huu Uzamini Anaoutoa GSM kwa Timu za Ligi Kuu ni Hatari kwa Ligi Yetu

NO Fair Competition kwa huu Uzamini Anaoutoa GSM kwa Timu za Ligi Kuu ni Hatari kwa Ligi Yetu

Ubaya Ubwela

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2024
Posts
1,353
Reaction score
3,060
Hizi timu zenye uzamini na GSM zinapokutana na Simba zinaaidiwa Posho zinaingia Zimekamia na kuumiza wachezaji,

Ni tofauti zinapokutana na Yanga zinalegeza na kucheza kwa maelekezo, hii ni hatari sana kwa afya ya Ligi yetu

Timu ikiwa ngumu ngumu wanaisogeza karibu wanairambisha Asali zinaufyata


Msimu huu kauli ni Moja tu "Ubaya ubwela"
IMG-20240727-WA0021.jpg
 
Hizi timu zenye uzamini na GSM zinapokutana na Simba zinaaidiwa Posho zinaingia Zimekamia na kuumiza wachezaji,

Ni tofauti zinapokutana na Yanga zinalegeza na kucheza kwa maelekezo, hii ni hatari sana kwa afya ya Ligi yetu

Timu ikiwa ngumu ngumu wanaisogeza karibu wanairambisha Asali


Msimu huu kauli ni Moja tu "Ubaya ubwela" inaufyataView attachment 3053835
Kwenye goli 5 Simba walipewa shingapi na GSM?
 
Hizi timu zenye uzamini na GSM zinapokutana na Simba zinaaidiwa Posho zinaingia Zimekamia na kuumiza wachezaji,

Ni tofauti zinapokutana na Yanga zinalegeza na kucheza kwa maelekezo, hii ni hatari sana kwa afya ya Ligi yetu

Timu ikiwa ngumu ngumu wanaisogeza karibu wanairambisha Asali zinaufyata


Msimu huu kauli ni Moja tu "Ubaya ubwela" View attachment 3053835
Msimu uliopita ulipigwa mechi zote 2 je unadhaminiwa na nani?
 
Hizi timu zenye uzamini na GSM zinapokutana na Simba zinaaidiwa Posho zinaingia Zimekamia na kuumiza wachezaji,

Ni tofauti zinapokutana na Yanga zinalegeza na kucheza kwa maelekezo, hii ni hatari sana kwa afya ya Ligi yetu

Timu ikiwa ngumu ngumu wanaisogeza karibu wanairambisha Asali zinaufyata


Msimu huu kauli ni Moja tu "Ubaya ubwela" View attachment 3053835
TFF Hakuna wasomi ni waganga njaa tu
 
Hizi timu zenye uzamini na GSM zinapokutana na Simba zinaaidiwa Posho zinaingia Zimekamia na kuumiza wachezaji,

Ni tofauti zinapokutana na Yanga zinalegeza na kucheza kwa maelekezo, hii ni hatari sana kwa afya ya Ligi yetu

Timu ikiwa ngumu ngumu wanaisogeza karibu wanairambisha Asali zinaufyata


Msimu huu kauli ni Moja tu "Ubaya ubwela" View attachment 3053835
Chukua timu moja udhamini, we unadhani kuendesha timu bila udhamini ni kazi urahisi.
 
Kwa hali hii basi Azam angenufaika na timu zote za Ligi kuu!! Halafu kwani wengine wamezuiliwa kudhamini timu zaidi ya moja kupitia bidhaa zao mbalimbali wanazo zalisha!!

Mwekezaji kama Mo (tajiri namba moja nchini 🥵) si alikuwa na uwezo wa kudhamini timu zaidi ya 10 kwenye ligi yetu!!
 
Kwa hali hii basi Azam angenufaika na timu zote za Ligi kuu!! Halafu kwani wengine wamezuiliwa kudhamini timu zaidi ya moja kupitia bidhaa zao mbalimbali wanazo zalisha!!

Mwekezaji kama Mo (tajiri namba moja nchini 🥵) si alikuwa na uwezo wa kudhamini timu zaidi ya 10 kwenye ligi yetu!!
Ukishaambiwa huo mkataba kati ya GSM na TFF ni wa siri usiotakiwa kujadiliwa na wadau wa mpira vikiwemo vilabu, ujue hapo kuna rushwa imetembea.

Ndio maana wanaolalamikia huo udhamini wa GSM kwangu naona wana valid reason, TFF ni corrupt.
 
Kwa hali hii basi Azam angenufaika na timu zote za Ligi kuu!! Halafu kwani wengine wamezuiliwa kudhamini timu zaidi ya moja kupitia bidhaa zao mbalimbali wanazo zalisha!!

Mwekezaji kama Mo (tajiri namba moja nchini 🥵) si alikuwa na uwezo wa kudhamini timu zaidi ya 10 kwenye ligi yetu!!
Chukulia MO naye adhamini timu 5 au 6 unafikili kutakuwa na ligi udhamini bongo sio kama mbele huko watu wanajielewa ila Huku ni kutaka wepesi kwenye mechi
 
Chukulia MO naye adhamini timu 5 au 6 unafikili kutakuwa na ligi udhamini bongo sio kama mbele huko watu wanajielewa ila Huku ni kutaka wepesi kwenye mechi
Na yeye ameomba kudhamini timu nyingine kupitia bidhaa zake kama afanyavyo huyo GSM, na kuzuiliwa?
Je, Yanga ilizifunga hizo timu pekee zinazo dhaminiwa na GSM kwenye mashindano ya Ligi kuu na pia Kombe la shirikisho?
 
Watu huwaga mnakuja na utetezi wa ajabu sana. Yaani mtu kaleta mada iliyo sahihi kabisa na inayohitaji kujadiliwa kwa utulivu bila mihemko ila kwa kuwa unaona upande wako kama unashambuliwa unashindwa kuona anachokisema, unabaki kutetea tu ujinga.

Eti wengine hamjazuiwa kudhamini? Mwingine anasema na nyie mlipewa kiasi gani hadi mkafungwa? Mwingine anasema na timu zingine ambazo hazijapewa udhamini mbona zilifungwa? Utetezi wa kijinga kabisa.
 
Watu huwaga mnakuja na utetezi wa ajabu sana. Yaani mtu kaleta mada iliyo sahihi kabisa na inayohitaji kujadiliwa kwa utulivu bila mihemko ila kwa kuwa unaona upande wako kama unashambuliwa unashindwa kuona anachokisema, unabaki kutetea tu ujinga.

Eti wengine hamjazuiwa kudhamini? Mwingine anasema na nyie mlipewa kiasi gani hadi mkafungwa? Mwingine anasema na timu zingine ambazo hazijapewa udhamini mbona zilifungwa? Utetezi wa kijinga kabisa.
Utakapofika mda kila tajili aanze kudhamini timu hizi timu kubwa zitagawana na hapo ndio watu watashtuka kuwa ligi imehalibika
 
Back
Top Bottom