Ndiyo hapo sasa, hawa watu wanaodhamini hizi timu ni wa kutia moyo. Vinginevyo timu hata kusafiri zitashindwa.Jamaa analeta tu maneno, halafu pesa hakuna.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo hapo sasa, hawa watu wanaodhamini hizi timu ni wa kutia moyo. Vinginevyo timu hata kusafiri zitashindwa.Jamaa analeta tu maneno, halafu pesa hakuna.
Zinaz dhaminiwa na Yanga au GSM? Je akiacha kuzi dhamini huyo utaenda kuzidhamini wewe? Au ulishindana naye kutaka kuzi dhamini wakaamua kumpa yeye?Hizi timu zenye uzamini na GSM zinapokutana na Simba zinaaidiwa Posho zinaingia Zimekamia na kuumiza wachezaji,
Ni tofauti zinapokutana na Yanga zinalegeza na kucheza kwa maelekezo, hii ni hatari sana kwa afya ya Ligi yetu
Timu ikiwa ngumu ngumu wanaisogeza karibu wanairambisha Asali zinaufyata
Msimu huu kauli ni Moja tu "Ubaya ubwela" View attachment 3053835
Leta utetezi wako makiniWatu huwaga mnakuja na utetezi wa ajabu sana. Yaani mtu kaleta mada iliyo sahihi kabisa na inayohitaji kujadiliwa kwa utulivu bila mihemko ila kwa kuwa unaona upande wako kama unashambuliwa unashindwa kuona anachokisema, unabaki kutetea tu ujinga.
Eti wengine hamjazuiwa kudhamini? Mwingine anasema na nyie mlipewa kiasi gani hadi mkafungwa? Mwingine anasema na timu zingine ambazo hazijapewa udhamini mbona zilifungwa? Utetezi wa kijinga kabisa.
Isomeke "Udhamini"uzamini
muulize Chama na Baleki na kibo walipewa shilingi ngapi na GSMKwenye goli 5 Simba walipewa shingapi na GSM?
TFF Yanga kisha panga matokeo ana point 30 kabla ya ligiHizi timu zenye uzamini na GSM zinapokutana na Simba zinaaidiwa Posho zinaingia Zimekamia na kuumiza wachezaji,
Ni tofauti zinapokutana na Yanga zinalegeza na kucheza kwa maelekezo, hii ni hatari sana kwa afya ya Ligi yetu
Timu ikiwa ngumu ngumu wanaisogeza karibu wanairambisha Asali zinaufyata
Msimu huu kauli ni Moja tu "Ubaya ubwela" View attachment 3053835