NO Fair Competition kwa huu Uzamini Anaoutoa GSM kwa Timu za Ligi Kuu ni Hatari kwa Ligi Yetu

Zinaz dhaminiwa na Yanga au GSM? Je akiacha kuzi dhamini huyo utaenda kuzidhamini wewe? Au ulishindana naye kutaka kuzi dhamini wakaamua kumpa yeye?
 
Leta utetezi wako makini

Aaahaa
 
Waache waendelee na udhamini wao wenye agenda za siri ndani yake lakini safari tutawanyoosha.
 
TFF Yanga kisha panga matokeo ana point 30 kabla ya ligi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…