Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Waolewe tu gubu liishe.. 😹Usipo OA utaolewa😂
kuna mahali niliona hii comment.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waolewe tu gubu liishe.. 😹Usipo OA utaolewa😂
kuna mahali niliona hii comment.
Niwe mkweli tu, falsafa ya #Kataa Ndoa sijawahi kuielewaKataa ndoa tunakusanua kimbia usioe.
Kaendelee kuomba unyumba kwa mkeo wakati yule bodaboda wake anaitiwa aje ajilie bure.Sawa Dada Asha.
😂Waolewe tu gubu liishe.. 😹
We ndo umeongea sasaCha msingi ni moja tuu, wanaume tujitahidi tusioe wanawake malaya.
Najua wasimbe( MASINGO MAZA) hii falsafa ya kataa ndoa inaingilia maslahi mapana ya nyie kuvalishwa shela na MASIMPS.Waolewe tu gubu liishe.. 😹
Kabisa mkuu, kuna wasengerema wengine wanazalisha tuu afu huyo huyo anakuja kuwaponda singo maza.Ni zaidi ya useeeeeeee n g e
Sawa Dada Asha.Kaendelee kuomba unyumba kwa mkeo wakati yule bodaboda wake anaitiwa aje ajilie bure.
Kataa ndoa ni kama hamasi wa kule Gaza u will fight them but u cant finish them.Sijaingia jf kitambo....siamini nimeingia leo nakuta hizi mada za kutokuoa bado zinaendelea
Hivi kuwa single maza ni dhambi??Najua wasimbe( MASINGO MAZA) hii falsafa ya kataa ndoa inaingilia maslahi mapana ya nyie kuvalishwa shela na MASIMPS.
Mniwie radhi hakuna namna KATAA NDOA NDIO MPANGO MZIMA.
Kutoolewa au kutooa ni tatizo, Kwa nn usiolewe kama kiafya na kiakili upo sawa?Hivi kuwa single maza ni dhambi??
Mimi sijaolewa na sina mpango wa kuolewa na kina kasongo km wewe… coz najua hamtaki ndoa mnataka kuolewa 😹😹😹