NO MO SALAH NO ROBERTO FILMINO .

marcoveratti

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2017
Posts
1,019
Reaction score
1,824
Kocha wa Liverpool klopp anathibitisha kukosekana kwa wachezaji wawili muhimu katika kikosi chake cha kwanza kutokana na majeraha
Hvyo hawatakuwa kwenye timu itakayo wavaa Barcelona UEFA pengine wasiwepo mechi zote zilizobaki za ligi

technical another trophy less for Liverpool
 
Kwani Liverpool Bado walikuwa na ndoto ya kufika final au ilibaki kucheza kukamilisha ratiba tu
 
Afadhali maana Hapo hata wasipoenda fainali watakuwa wana sababu ya msingi
 
Hivi match ya marudiano lini wakuu?
 
Naipenda sana liverpool fc chama langu,lakini kwa yale magoli tuloruhusu kule Spain,ni mengi sana,hata kama wachezaji wote wangekuwa fit kuwatoa Barcelona bado ingekuwa ngumu.



Hapo cha muhimu kesho timu ikapambane tu hivyo hivyo ila isijisahau sana manake tunaweza dhalilishwa palepale na hiko ndo kitu cha kutia aibu.
 
Hawana lolote hao wanamkimbia tu Messi...na hata kama watacheza kichapo kipo pale pale...

First leg si walikuwemo lakini? Na tukawapiga sio!!


Nasema hivi....mnapigwa 4 kesho...mark my words!



πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…