NO MO SALAH NO ROBERTO FILMINO .



Matokeo ya kesho ni hiviπŸ‘‰ Barca 4-0 Watumia nguvu....
 
Salah Muoga Wa game kubwa huyu hata ile match na Madrid alianguka akajikunja akaliaaaaa...akatoka uwanjani...sasa...ameshaona moto Wa barca ameona isiwe tabu..
 
Maana halisi ya mtaka yote kwa pupa hukosa yote ni kwa kuku wa kishingo mwaka huu..KISHINGO 0-4 BARCA

King lazima awadhalilishe ninyi...Hattrick naiona ileeeeeeeee
 


"Weka na Van Djik, amekosekana mazoezini kwa siku ya jana ingawa hakuna taarifa kamili zilizotolewa kukosekana kwake" jamaa kaona wasimharibie cv zake (Beki bora) kaona bora akimbie mapema tu 🀣🀣🀣
 
Matokeo ya kesho ni hiviπŸ‘‰ Barca 4-0 Watumia nguvu....
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‡πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œ
 
Hawana lolote hao wanamkimbia tu Messi...na hata kama watacheza kichapo kipo pale pale...

First leg si walikuwemo lakini? Na tukawapiga sio!!


Nasema hivi....mnapigwa 4 kesho...mark my words!



πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹

Naona utabiri wako umekugeukia, nyambafu 🀣🀣🀣🀣🀣
 
"Weka na Van Djik, amekosekana mazoezini kwa siku ya jana ingawa hakuna taarifa kamili zilizotolewa kukosekana kwake" jamaa kaona wasimharibie cv zake (Beki bora) kaona bora akimbie mapema tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lini unatoka kwenye sayari bibie?
 
Wamepambana kama ulivyoona tumempeleka mtu kibla.
 
Hawana lolote hao wanamkimbia tu Messi...na hata kama watacheza kichapo kipo pale pale...

First leg si walikuwemo lakini? Na tukawapiga sio!!


Nasema hivi....mnapigwa 4 kesho...mark my words!



πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹
uli mark your words mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…