kopuko
Senior Member
- Oct 24, 2011
- 180
- 58
Hi wanajamii,ifuatayo ni story ya kweli kabisa niliyo adhithiwa na rafiki angu(bwana harusi mtarajiwa) wknd hii akiniomba ushauri afanye nn na achukue uhamuzi gani.
Bwana Hamisi(jina si halisi) alipata galfrend mwezi mei,tokea hapo wakiwa wakionana na kuwasiliana tu kwa sababu ye anaishi mwanza mwanamke dar,kila jamaa akija wamekuwa wakikutana bar or hotel kwa lunch story nyingi bt hawafanyi mapenzi,wameendelea hivyo kwa muda mrefu mpka walipoamua kuoana,wakafanya mautambulisho kila sehemu ikabaki kwenda kuandikisha ndoa kwa kanisa tu.
Mwezi uliopita bwana Hamisi akaja dar kwa ajili ya process za kuandikisha harusi na maaandalizi flani hv yaanze,alifikia Lamada,this time akajitutumua na kumwita mpnzi wake walale wote mana kesho yake waamke wote wafanye mchakato wa kwenda makanisani na vitu vingine.according to jamaa anadai demu alikuwa na mshawasha wa jabu sana an hamu kubwa ya kufanya mapenzi na jamaa kana kwamba ahajawahi kufanya kitu hicho tokea azaliwe.basi wakanywa wanywavyo na kula walivyoweza,usiku wa majamboz ukafika,wakaanza process zao zote kama nyie mnavyofanyaga lakini tatizo ndo hapo likaanza onekana,kila jamaa akiingiza akipinga up and dwn movement 5 tu wazungu wanakuja afu analala kama nusu saa hv,akipanda tena up na d dwn movement 5 wzungu wanakuja tena thn anashuka,alifanya hivyo kama mara kumi kwa usiku huo bila kujua anamchafua tu dada wa watu.
ilipojiri asubuhi kwa mbwembwe nyingi akaanza kujisifia kuwa kapiga kumi sio mchezo kuwa yeye ni noma bila kujua mwenzake ana lindi la mawazo kichwani.siku ya kwanza mwana mke akavumilia,usiku uliofata mambo yakawa ni yale yale ya bao kumi na kujisifia,mwanamke wa watu akaona sio inshu bora kumchana jamaa,kwa upole akamuuliza ni vp?ana matatizo gani kichwani au ana stress gani mbona ana mchafua kama kuku?jamaa aka panic kweli kwa hasira na kufoka kweli,mwanamke akamshauri aende hospitali kupata ushauri,jamaa akaenda akapewa majibu kuwa yupo poa bt atulize akili tu na kuwa na ujanja na wanawake.
Demu akaamua kusitisha ndoa kwanza afanye uchunguzi kwa wiki nzima kama kutakuwa na improvement yoyote,badala yake siku zifatazo jamaa akawa akimaliza shida zake anapitiwa na usingizi juu ya kifua cha mwanamke.hivi navyoongea dem hataki tena ndoa na jamaa yupo kachanganyikiwa hajui lakufanya kabisa..
Kama wanajamii wenzangu naombeni tusaidiane kumshauri huyu jamaa.
Bwana Hamisi(jina si halisi) alipata galfrend mwezi mei,tokea hapo wakiwa wakionana na kuwasiliana tu kwa sababu ye anaishi mwanza mwanamke dar,kila jamaa akija wamekuwa wakikutana bar or hotel kwa lunch story nyingi bt hawafanyi mapenzi,wameendelea hivyo kwa muda mrefu mpka walipoamua kuoana,wakafanya mautambulisho kila sehemu ikabaki kwenda kuandikisha ndoa kwa kanisa tu.
Mwezi uliopita bwana Hamisi akaja dar kwa ajili ya process za kuandikisha harusi na maaandalizi flani hv yaanze,alifikia Lamada,this time akajitutumua na kumwita mpnzi wake walale wote mana kesho yake waamke wote wafanye mchakato wa kwenda makanisani na vitu vingine.according to jamaa anadai demu alikuwa na mshawasha wa jabu sana an hamu kubwa ya kufanya mapenzi na jamaa kana kwamba ahajawahi kufanya kitu hicho tokea azaliwe.basi wakanywa wanywavyo na kula walivyoweza,usiku wa majamboz ukafika,wakaanza process zao zote kama nyie mnavyofanyaga lakini tatizo ndo hapo likaanza onekana,kila jamaa akiingiza akipinga up and dwn movement 5 tu wazungu wanakuja afu analala kama nusu saa hv,akipanda tena up na d dwn movement 5 wzungu wanakuja tena thn anashuka,alifanya hivyo kama mara kumi kwa usiku huo bila kujua anamchafua tu dada wa watu.
ilipojiri asubuhi kwa mbwembwe nyingi akaanza kujisifia kuwa kapiga kumi sio mchezo kuwa yeye ni noma bila kujua mwenzake ana lindi la mawazo kichwani.siku ya kwanza mwana mke akavumilia,usiku uliofata mambo yakawa ni yale yale ya bao kumi na kujisifia,mwanamke wa watu akaona sio inshu bora kumchana jamaa,kwa upole akamuuliza ni vp?ana matatizo gani kichwani au ana stress gani mbona ana mchafua kama kuku?jamaa aka panic kweli kwa hasira na kufoka kweli,mwanamke akamshauri aende hospitali kupata ushauri,jamaa akaenda akapewa majibu kuwa yupo poa bt atulize akili tu na kuwa na ujanja na wanawake.
Demu akaamua kusitisha ndoa kwanza afanye uchunguzi kwa wiki nzima kama kutakuwa na improvement yoyote,badala yake siku zifatazo jamaa akawa akimaliza shida zake anapitiwa na usingizi juu ya kifua cha mwanamke.hivi navyoongea dem hataki tena ndoa na jamaa yupo kachanganyikiwa hajui lakufanya kabisa..
Kama wanajamii wenzangu naombeni tusaidiane kumshauri huyu jamaa.