NO OPTION.

NO OPTION.

Habari za Leo wanajamvi

Katika maisha kuna vipindi mbalimbali ambavyo mtu anaweza kupitia
Ila kuna kipindi hiki ambacho ni "No option" hiki ni kipindi ambacho unavitu vingi sana kichwani ambavyo unataka kuamua lakini kuna mahali vinagoma siku, miezi miaka vinapita ni jambo ambalo linawakuta watu wengi sana

Lakini binafsi nahitaji tujadili pamoja kujua namna ambavyo tunaweza kuondoa hili tatizo na naamini kabisa tutasaidia vijana wengi sana wenye tatizo hili
1.mtu anaweza kumaliza chuo lakini amekaa nyumban capital ya kujiajiri hana, kazi hajapata huyu mtu anakutana na hali ya "No option" tujadili namna ya kuondoka kwenye hii hali ili afanye kitu kwa ajili ya mafanikio yake, na huenda anategemewa pia

2.mtu amemaliza form six hana ufaulu wa kuendelea na chuo kikuu, hela ya kuendelea na shule hana na anatamani kuendelea na shule
Na saa ingine anawaza kufanya biashara ili apate hela aende shule lakini anakutana na "No option" tujadili namna ya kumsaidia

3.Ambaye shule hajaenda may be kaishia 4m2, 4m3, 4m4 au darasa la saba kabisa na anakutana na " No option" na saa ingine ana "Idea ya biashara" ana "location au Market" lakini hana Capital tunafanyaje ili kumfanya afikie ndoto zake

Naamini jukwaa hili tukijadili hapa tutawasaidia wengi

nawaza kwa sauti & nawasilisha
Ngoja nikwambie ukweli ambao watu wanao but hawajui tu.

Tunategemea kupata siri ya watu waliofanikiwa na kutoka either kimaisha , kiuchumi, kisanaa n.k tunategemea Tips labda ipo , na kila siku mtu anaongea na watu wengi au ku search sana kutafuta hiii siri. kiufupi ni hakuna SIRI.

Jambo lililopo ni sisi tujiulize, tunatokaje katika hali hiiii na SIO KWA NINI TUPO KATIKA HALI HIII. Hiii ndio tofauti ya mawazo anayefanya anatokaje katika haliii hiii tunasema anatafakari.
Lakini anayewaza why yupo hapa, anataka kutia huruma huyu anajipa stress na kucreat matatizo ambayo hayapo. Una gain nini ukiwa na stress au ku show watu una stress, NOTHING . Then acha kuji stress.

NO OPTION Ni myth kama ilivyo FEAR , tuna zi creat wenyewe, sis wenyewe hazipo katika ulimwengu halisi. Kinacho tugharimu ni matarajio na hali halisi.

Tunategemea after kusoma tutapiga hatua , lakini haipo hivyo. Life is hard, living is hard na maisha yatakupiga lazima yatupige tegemea hili na haijalishi unapigwaje but simama kila upigwapo hiiii ndio msingi wa yote.

Options zipo nyingi but tuwe tayari kuanzia chini......
 
Mwambie aandike kwenye karatasi pana maneno haya 'I SEE THERE ARE 1000 OPTIONS' kisha abandike ukutani chumbani kwake pia umhimize kuyasoma na kuyatafakari muda wote atakaokuwa chumbani. Baada ya mwezi mmoja leta mrejesho hapa.
Nimeupenda sana mchango wako ndugu, ubarikiwe.
 
Back
Top Bottom