Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
- Thread starter
-
- #41
sijawahi kusikia kuwa ulikuwa my be billcanas club Jory masaki ostabay na kwingineko kwa maan hiyo tangia utoke bongo ndio hivyo tena.umebaki kupiga debe ccm na wakati huo huijui.
swissme
Hizo ni dumbbell curls wewe...
hehhe huyo tena nimeona.. gari la 2016 kila mtu ajue!!! sa kina Mengi na Bhakresa wangeamua kufanya mashauzi yaoKama ulikuwa kwenye akili yangu...
Umeona mashauzi ya Jack Pemba Insta?
[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Mazoezi haya ni mazuri na rahisi kumudu gharama zake ikiwemo pamoja na kula vizuri endapo tu wewe ni bachelor coz ukijinyima basi japo 15000 per day inatakiwa iwepo,basi utatoka fit sana ila kama budget ni elfu kumi alafu ni familia hii itakuumiza unaweza ukawa unatafuta six packs kwa miaka sita maana kila mwaka unapata one pack.kazi kwenu wazee wa vyuma wazee wa triceps na biceps plus shoulders.
Hey Missy [emoji131]kumbe upo hot meen
You probably meant to say triceps and the forearm.Triceps and wrists, man. They need some love too. That's what I'd tell that brotha.
Hey Missy [emoji131]
Bossman vipi hapo?Hili swali nimewahi kujiuliza
why Atlanta ,Georgia of all places?
In our opinion ndo best place in the USA kuishi?
why not Boston?au Detroit au kwingine?
Bossman vipi hapo?
Pia ushawahi kujiuliza why not ATL but Boston and all those other places?
Maisha ni popote pale na kwa Marekani kusema ukweli hata uishi Fargo, North Dakota huko tofauti za kimsingi na ubora wa maisha ni ama ni ndogo sana au hakuna.
Huduma zilizo za msingi katika kuleta unafuu kwenye maisha ya watu zipo kila kona ya Marekani...iwe kwenye miji mikubwa au midogo!
Kwa hiyo unapomwuliza mtu kwa nini siyo hapa naye anaweza kukuuliza kwa isiwe hapa na iwe kule!
Unaweza ukanipa mfano wa jambo la msingi maishani ambalo mtu wa Atlanta, GA halipati na mtu ambaye anaishi Boston, MA analipata?
Nimekuwa curious kwa sabbu nimeuliza uliza watu sifa za miji huko USA nikapata majibu tofauti
kuna watu hawataki kuishi Houston Texas simply wanasema kuna 'wabongo wengi' hawataki
kujichanganya na wabongo
Ukimtajia Atlanta anasema hakuna train sijui ..usafiri ghali ...i am not sure..
Mwingine atasema Atlanta labda kuna weusi wengi...
Mwingine New York maisha ghali kupanga nyumba na kadhalika..
so nime guess unapapenda sana ATL..ndo maana nimeuliza labda kuna vitu vinavutia zaidi kulinganisha na states na miji mingine......
Wengine watakuambia gang violence LA na kadhalika
niko tu curious.....for some reason...labda nna future plans...
nataka kuongeza chura mkuu pls help meOf course swala la mazoezi ni muhimu, binafsi ni instructor wa fitness and health. Kama kuna watu hapa JF wanataka huduma hiyo, and wapo bongo wanicheki pm nitawasaidia kwa kila namna waweze kuwa fit physical and mental
You probably meant to say triceps and the forearm.
The forearm is on point. Both the flexors and extensors are proportional.
The triceps are okay. That was a frontal biceps pose so it's kinda hard to see how developed the tris are.
But trust me the horseshoe is there.
Nevertheless, there's always room for improvement.
And just an FYI, that brotha happens to be none other than yours truly!
[emoji123] [emoji123] [emoji123] [emoji123] [emoji123] [emoji123]
Nope! I did mean the wrists.
That's the brotha himself? Good looking, man. Woulda looked dope with some vascularity tho, just saying.
Fanya squatsnataka kuongeza chura mkuu pls help me