Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
LA baby.....Hii Atlanta Ngabu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LA baby.....Hii Atlanta Ngabu?
The body [emoji8]
Halafu tufungue uzi wa kuelimishana kuhusu fitness and wellness kuanzia mazoezi, meal plan, supplements etc
Kweli sasa anzisha uzi mwenyewe I'll put my two cents in au tufanye uzi huu mahsusi kwa hilo.Hili miaka kadhaa huko nyuma niliwahi kumwambia Invisible na/au Maxence Melo / Mike Mushi lakini walinipotezea tu.
Nilikuwa nataka sana kuelimisha watu juu ya mambo ya fitness maana kwa ujumla fitness IQ ya wabongo wengi iko chini sana!
Kweli sasa anzisha uzi mwenyewe I'll put my two cents in au tufanye uzi huu mahsusi kwa hilo.
Mkuu ukianzisha hii program popote nitafuatilia sana...nipo interested sana na issues za Health and Fitness.Hili miaka kadhaa huko nyuma niliwahi kumwambia Invisible na/au Maxence Melo / Mike Mushi kuhusu jukwaa la afya na mazoezi lakini walinipotezea tu.
Nilikuwa nataka sana kuelimisha watu juu ya mambo ya fitness maana kwa ujumla fitness IQ ya wabongo wengi iko chini sana!
mkuu nifanyie mchakato nipate DSLR camera used utakayo afford nijiajiri pls.. life bongo gumu no employment.Ngoja tuwasikie wakubwa maana nimewa tag...and we'll go from there.
Mkuu ukianzisha hii program popote nitafuatilia sana...nipo interested sana na issues za Health and Fitness.
I will appreciate that.Halafu tufungue uzi wa kuelimishana kuhusu fitness and wellness kuanzia mazoezi, meal plan, supplements etc
Ww jamaa umenifurahisha sanaMatangazo ya promo za kutafuta mademu hapa JF kama haya ifike kipindi yaanze kulipiwa jamani!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimeshindwa kucheka kimyakimya.Matangazo ya promo za kutafuta mademu hapa JF kama haya ifike kipindi yaanze kulipiwa jamani!
Kama ulikuwa kwenye akili yangu...[HASHTAG]#InstaForum[/HASHTAG]
Not in the gym, I play soccer so that's my cardio. Nilikua naenda upande wa weights hapoDo you mainly do cardio?
rudi hata kwenu kuanzia jf ijengwe sijawahi kusikia kuwa uko bongo sijui boks alinunui tkt.Hahaa...that's an undisclosed location!
Working out is my lifetime hobby.
I'm obsessed with it.
Not in the gym, I play soccer so that's my cardio. Nilikua naenda upande wa weights hapo
rudi hata kwenu kuanzia jf ijengwe sijawahi kusikia kuwa uko bongo sijui boks alinunui tkt.
swissme
sijawahi kusikia kuwa ulikuwa my be billcanas club Jory masaki ostabay na kwingineko kwa maan hiyo tangia utoke bongo ndio hivyo tena.umebaki kupiga debe ccm na wakati huo huijui.😀😀😛😛