Pre GE2025 No reforms, no elections’ yawaweka CHADEMA njiapanda

Pre GE2025 No reforms, no elections’ yawaweka CHADEMA njiapanda

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Toka umeacha Uislamu na kuanza kula nguruwe umekuwa mbea sana
Unakududia nimeingia ukiristo? Allah aniepushe kuwa mkiristo na asipe hata wazo la kufikiria tu kuingia huko. Nawashauri wote waliokuwa hawajaingia ktk uislam wafanye hivyo haraka kabla ya umauti haujamfika mtu, twendako baada ya kufariki ni kuzito. Pekee ataesalimika ni muislamu tena sio muislam blablablaa
 
kwami bado kuna migawanyiko na uhasama baina ya timu mbowe na timu lisu? uchaguzi si umekwisha gentleman?

kwahiyo vita ndani ya chadema kwasasa ni kubwa zaidi hata ya kabla ya uchaguzi right?🐒
Akikujibu nistue Mkuu🤣🤣🤣
 
No reforms, no elections’ yawaweka Chadema njiapanda.

Kampeni inayoratibiwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ya ‘No reforms, no elections’ ikimaanisha “Bila mabadiliko, hakuna uchaguzi”, imewaweka njiapanda baadhi ya viongozi na makada wa chama hicho.

Wanaobaki njiapanda, ni makada ambao kwa namna moja au nyingine wana nia ya kugombea katika uchaguzi mkuu Oktoba 2025 kusaka udiwani, ubunge na hata urais, ambao wanaingia hofu ya kukosa fursa hiyo.

Makada hao hawajui iwapo wajiandae kujitosa kwenye kinyang’anyiro hicho au waendelee kuwa wasikilizia kauli ya chama iliyosisitizwa na Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu, kwamba kwa sasa nguvu kubwa zinaelekezwa kwenye kupigania mabadiliko ya mifumo ya kiuchaguzi na si vinginevyo.

Wakati Chadema ikiendelea kujiuliza na kupigania mabadiliko, vyama vingine vinaendelea na maandalizi ya uchaguzi. Mathalan, ACT Wazalendo kimeshatangaza wanaotaka kuwania udiwani, ubunge, uwakilishi na urais wajitokeze na kutangaza nia.

Tayari Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othuman Masoud ameweka nia kuwania urais Zanzibar na Kiongozi wa chama hicho, Dorothy Semu ametamgaza kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Chama tawala CCM kimekwishapitisha wagombea wake wa uraia; Rais Samia Suluhu Hassan (muungano) na Dk Hussein Ali Mwinyi (Zanzibar). Dk Emmanuel Nchimbi amepitishwa kuwa mgombea mwenza wa Rais wa Tanzania.

Msimamo wa Chadema

Kwa nyakati tofauti Lissu aliyeshika wadhifa huo Januari 22, 2025, amekuwa akisisitiza dhana hiyo, kuwa iwapo hakutakuwa na mabadiliko kwenye mfumo wa kisheria, Chadema itafanya kila linalowezekana kuhakikisha uchaguzi haufanyiki.

“Hatuzungumzii kususuia uchaguzi, hatutasusia bali tutaenda kuwaambia Watanzania, jumuiya ya kimataifa na walimwengu kwamba kama CCM na Serikali hawako tayari kufanya mabadiliko kwenye mfumo wa uchaguzi ili kuwepo chaguzi huru na haki, uchaguzi wa mwaka huu usifanyike kabisa,” alisema Lissu katika moja ya hotuba zake.

Soma Pia: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Kauli ya No Reform No Election hatujasema tunasusia Uchaguzi. Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


Majibu ya Serikali

Msimamo huo umemwibua Katibu Mkuu, Wizara ya Katiba na Sheria, Eliakim Maswi ambaye anasema kwa ajuavyo yeye mageuzi yalikwishafanyika.

“Mimi nimeona mageuzi yapo, sasa kama mwenzangu hayaoni, hata ukitwambia hakuna uchaguzi, wewe unayezuia kwani ndiye unayechagua pekee? Uchaguzi unafanywa na wananchi na ndio wanaopiga kura,” amesema Maswi.


Source: gazeti la mwananchi mtandaoni
Wakuu mnapambana sana....
Screenshot_20250220_064615.jpg
 
No reforms, no elections’ yawaweka Chadema njiapanda.

Kampeni inayoratibiwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ya ‘No reforms, no elections’ ikimaanisha “Bila mabadiliko, hakuna uchaguzi”, imewaweka njiapanda baadhi ya viongozi na makada wa chama hicho.

Wanaobaki njiapanda, ni makada ambao kwa namna moja au nyingine wana nia ya kugombea katika uchaguzi mkuu Oktoba 2025 kusaka udiwani, ubunge na hata urais, ambao wanaingia hofu ya kukosa fursa hiyo.

Makada hao hawajui iwapo wajiandae kujitosa kwenye kinyang’anyiro hicho au waendelee kuwa wasikilizia kauli ya chama iliyosisitizwa na Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu, kwamba kwa sasa nguvu kubwa zinaelekezwa kwenye kupigania mabadiliko ya mifumo ya kiuchaguzi na si vinginevyo.

Wakati Chadema ikiendelea kujiuliza na kupigania mabadiliko, vyama vingine vinaendelea na maandalizi ya uchaguzi. Mathalan, ACT Wazalendo kimeshatangaza wanaotaka kuwania udiwani, ubunge, uwakilishi na urais wajitokeze na kutangaza nia.

Tayari Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othuman Masoud ameweka nia kuwania urais Zanzibar na Kiongozi wa chama hicho, Dorothy Semu ametamgaza kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Chama tawala CCM kimekwishapitisha wagombea wake wa uraia; Rais Samia Suluhu Hassan (muungano) na Dk Hussein Ali Mwinyi (Zanzibar). Dk Emmanuel Nchimbi amepitishwa kuwa mgombea mwenza wa Rais wa Tanzania.

Msimamo wa Chadema

Kwa nyakati tofauti Lissu aliyeshika wadhifa huo Januari 22, 2025, amekuwa akisisitiza dhana hiyo, kuwa iwapo hakutakuwa na mabadiliko kwenye mfumo wa kisheria, Chadema itafanya kila linalowezekana kuhakikisha uchaguzi haufanyiki.

“Hatuzungumzii kususuia uchaguzi, hatutasusia bali tutaenda kuwaambia Watanzania, jumuiya ya kimataifa na walimwengu kwamba kama CCM na Serikali hawako tayari kufanya mabadiliko kwenye mfumo wa uchaguzi ili kuwepo chaguzi huru na haki, uchaguzi wa mwaka huu usifanyike kabisa,” alisema Lissu katika moja ya hotuba zake.

Soma Pia: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Kauli ya No Reform No Election hatujasema tunasusia Uchaguzi. Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


Majibu ya Serikali

Msimamo huo umemwibua Katibu Mkuu, Wizara ya Katiba na Sheria, Eliakim Maswi ambaye anasema kwa ajuavyo yeye mageuzi yalikwishafanyika.

“Mimi nimeona mageuzi yapo, sasa kama mwenzangu hayaoni, hata ukitwambia hakuna uchaguzi, wewe unayezuia kwani ndiye unayechagua pekee? Uchaguzi unafanywa na wananchi na ndio wanaopiga kura,” amesema Maswi.


Source: gazeti la mwananchi mtandaoni
Hao wapiga mbadili wa Chadema kama hawatakuja uchaguzi sisi Act wazalendo tutashiriki
 
Unakududia nimeingia ukiristo? Allah aniepushe kuwa mkiristo na asipe hata wazo la kufikiria tu kuingia huko. Nawashauri wote waliokuwa hawajaingia ktk uislam wafanye hivyo haraka kabla ya umauti haujamfika mtu, twendako baada ya kufariki ni kuzito. Pekee ataesalimika ni muislamu tena sio muislam blablablaa
Mbona unakula nguruwe sasa?
 
cha kushangaza zaidi ni pale ambapo,
anaye ielewa agenda hiyo ni mwenyekiti wa chadema Taifa pekeyake,

viongozi na wanachadema wengine ni kama wako confused wameduwaa hawaelewi na hawajui hata nini cha kuhubiri vijiweni kuhusu hilo 🐒
Transitional period ya uongonzi Chadema imeikuja wakati wa saa mbaya za majeruhi kuelekea uchaguzi mkuu.
Ukitema nchale,ukimeza nchale.
Yaani wakisusia ni hasara kwao,wakishiririki bila reform watabezwa vile vile.
Option ya kuzuia election kutoka kwa Bwana Amsterdam kwenda kwa CCM chama ndungu na China ya Xi ni kichekesho.
Muda ni namba,usishangae vigogo wa Chadema wakajiunga na vyama vingine kutafuta udiwani,ubunge na hata Uraisi endapo Chadema itasusia uchaguzi.
 
CCM na vyombo vyenu mnahaha sana na propaganda zenu mfu. Nunueni vyombo vya habari vyote kama mlivyowanunua hao Mwananchi ila jueni tu hamtofanikiwa kuwarubuni Watanzania this time.

Watanzania washawajua na mbinu zenu za kutumia propaganda ili kuwaondoa kwenye hoja za msingi na this time wameamka kweli.

Hicho kipeperushi cha Mwananchi kitaendelea kuwapiga hela zenu na hao wajinga wa TISS ILA Watanzania tumeshasema No Reform No Election!
Kumbe mwananchi ishanunuliwa? Inamaana wameshasahau mwenzao azory alivyoliwa na fisi?
 
Kuhadaa na kuchochea wanainchi kupoteza haki na uhuru wao wa kuchagua na kuchaguliwa kua viongozi kwenye maeneo yao kupitia uchaguzi mkuu wa kikatiba nchini kwasabb tu wewe kama kiongozi wa chama cha siasa unapitia ukata wa fedha na huna uwezo wa kiuchumi kufanya kampeni nchi nzima,

ni utapeli kurubuni wengine wasitumie uhuru na haki zao za kikatiba kushiriki zoezi hilo muhimu sana la kihistoria, bali kuwachochea kupoteza haki hizo 🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
 
No reforms, no elections’ yawaweka Chadema njiapanda.

Kampeni inayoratibiwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ya ‘No reforms, no elections’ ikimaanisha “Bila mabadiliko, hakuna uchaguzi”, imewaweka njiapanda baadhi ya viongozi na makada wa chama hicho.

Wanaobaki njiapanda, ni makada ambao kwa namna moja au nyingine wana nia ya kugombea katika uchaguzi mkuu Oktoba 2025 kusaka udiwani, ubunge na hata urais, ambao wanaingia hofu ya kukosa fursa hiyo.

Makada hao hawajui iwapo wajiandae kujitosa kwenye kinyang’anyiro hicho au waendelee kuwa wasikilizia kauli ya chama iliyosisitizwa na Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu, kwamba kwa sasa nguvu kubwa zinaelekezwa kwenye kupigania mabadiliko ya mifumo ya kiuchaguzi na si vinginevyo.

Wakati Chadema ikiendelea kujiuliza na kupigania mabadiliko, vyama vingine vinaendelea na maandalizi ya uchaguzi. Mathalan, ACT Wazalendo kimeshatangaza wanaotaka kuwania udiwani, ubunge, uwakilishi na urais wajitokeze na kutangaza nia.

Tayari Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othuman Masoud ameweka nia kuwania urais Zanzibar na Kiongozi wa chama hicho, Dorothy Semu ametamgaza kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Chama tawala CCM kimekwishapitisha wagombea wake wa uraia; Rais Samia Suluhu Hassan (muungano) na Dk Hussein Ali Mwinyi (Zanzibar). Dk Emmanuel Nchimbi amepitishwa kuwa mgombea mwenza wa Rais wa Tanzania.

Msimamo wa Chadema

Kwa nyakati tofauti Lissu aliyeshika wadhifa huo Januari 22, 2025, amekuwa akisisitiza dhana hiyo, kuwa iwapo hakutakuwa na mabadiliko kwenye mfumo wa kisheria, Chadema itafanya kila linalowezekana kuhakikisha uchaguzi haufanyiki.

“Hatuzungumzii kususuia uchaguzi, hatutasusia bali tutaenda kuwaambia Watanzania, jumuiya ya kimataifa na walimwengu kwamba kama CCM na Serikali hawako tayari kufanya mabadiliko kwenye mfumo wa uchaguzi ili kuwepo chaguzi huru na haki, uchaguzi wa mwaka huu usifanyike kabisa,” alisema Lissu katika moja ya hotuba zake.

Soma Pia: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Kauli ya No Reform No Election hatujasema tunasusia Uchaguzi. Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


Majibu ya Serikali

Msimamo huo umemwibua Katibu Mkuu, Wizara ya Katiba na Sheria, Eliakim Maswi ambaye anasema kwa ajuavyo yeye mageuzi yalikwishafanyika.

“Mimi nimeona mageuzi yapo, sasa kama mwenzangu hayaoni, hata ukitwambia hakuna uchaguzi, wewe unayezuia kwani ndiye unayechagua pekee? Uchaguzi unafanywa na wananchi na ndio wanaopiga kura,” amesema Maswi.


Source: gazeti la mwananchi mtandaoni
Ninyi wahuni Mwaka 2025 hakuna uchafuzi, Tutafanya juu chini usifanyike.
 
Back
Top Bottom