Elections 2010 NO way, No how, No Slaa!

Elections 2010 NO way, No how, No Slaa!

The House of Great Thinkers my... Hakuna hata mmoja wa kuweza kuandika kitu cha ku-refute!
 
ha ha haaa!! asante mchungaji, zawadi hana la kusema tena.
 
....kwa bahati mbaya wengi wanashindwa kumuelewa Dr. Slaa na mbaya zaidi wanachukulia juu juu tu kila anachokisema...tut0fautishe Sera na Ahadi...elimu bure ni Sera...kununua bajaji kwa wajawazito hiyo ni ahadi..sera inaambatana na mikakati na hapo inawahusisha watu wengi ndani na nje ya serikali...ahadi inabaki kuwa ahadi tu na hata isipotekelezwa....sera yoyote itapimwa kwa mikakati ya kuitekeleza tena mikakati endelevu...la msingi ni kumuuliza Dr. Slaa ana mikakati gani kuhusu sera za chama chake...Ahadi za JK alipaswa kuzitoa kama mgombea sio sio kuzungumzia mipango ya serikali iliyopita ambayo iliidhinishwa na Bunge la kina Dr. Slaa, Mpendazoe, Shibuda na wengine...kwa maana hiyo JK na CCM nje ya mipango ya serikali inayomaliza muda wake hawana jipya...na kwakuwa ni mipango ya serikali hata nchi akichukua Mtamwega, Kuga, Lipumba...au hata Mrema angekuwepo ahadi zooooote anazotoa JK yeyote kati yao angeweza zitekeleza....elimu bure inawekana...mikakati yake ni kubana matumizi ya serikali, kupunguza ukubwa wa cabinet, kuongeza "loyalty" kutoka katika mapato ya madini, kueongza uwajibikaji, kusimamia sheria, nidhamu na uadilifu miongoni mwa watendaji, kusimamia miongozo na taratibu....na mambo kama hayo....haya kwa CCM yameshindikana. Na ndio maana Rais wa nchi anaweza kumsafisha mtumishi wa umma mwenye tuhumua ilhali bado shauri lake liko mahakamani..KENYA SONGENI MBELE,..tuacheni tu sisi na tanzania yetu iliyojaa unafiki na dharau hata katika mambo ya msingi...ndio maana Baba wa Taifa alitushangaa kuanza kuhoji hata mambo ya msingi yaliyofanywa wakati wa awamu yake...TUSIMBEZE DR. SLAA...TUMSIKILIZE, TUMPONGEZE NA KUUMUUNGA MKONO PALE ANAPOKUWA NA MAWAZO SAHIHI NA KUONESHWA WAZI NIA YA KUTHUBUTU...
 
Kwa mara ya kwanza niliuangalia Mdahalo wa Mh Slaa kupitia Michuzi blog. Alipoulizwa maswali na mwendesha kipindi, hakika nawaeleza hakuna point aliyojibu. Kitu alichhofanya ni kama alivyofanya bungeni- alikuwa critical na wala hakutoa utatuzi wa tatizo.

Nitatoa mfano wa maswali haya mawili:

1. Mh Slaa, K AMPENI ZA MWAKA HUU ZIMELAUMIWA KUINGILIWA NA UDINI, NA CHADEMA KIMEKUWA KIKINYOSHEWA KIDOLE, NA PENGINE TUHUMA HIZO ZINAKULENGA WEWE Mh, wasemaje juu ya swala hilo?

Jibu: Nani asiyejua kuwa mimi ni mkatoliki au nani asiyejua kuiwa mimi nilikuwa Padre.......

Basi alibwabwaja hapo bila hata kujibu swali la msingi. Hatujakataa kuwa watanzania hawana dini zao wala hatujakataa kuwa watanzania na viongozi hawahudhurii misikitini na makanisani. Sasa ni nini anachotuambia hapo. Baada ya hapo akaja kwenye profesional yake ya kutoa critics kwa wengine. Huyu ni rais kweli au kichwa maji.

2. Elimu bure, utawezaje hilo.

Jibu: Mh Kikwete ameorder mabango ya picha yake ya kampeni toka Kanada. Na yamesafirishwa kwa ndege. Na yamesambazwa nchi nzima. Hata kule mtwara kuna nyumba inataka kuanguka lakini nje imebandikwa picha ya Kikwete. Gharama ya shughuli yote imeghalimu dola 1 mil.

Sasa hizo zingetumika kusomeshea wanafunzi zingetosha.

Kweli huyu mtu ni kichwa maji, wewe unaamini kweli kuwa dola 1 mil zinatosha kusomeshea wanafunzi tanzania nzima?

Majibu ya swali hilo yanahitajika yawe katika mtiririko ufuatao:

Idadi ya wanafunzi mwaka huu ni...........

Kila mwanafunzi anagharimu sh..........

Jumla ni sh..........

Pesa hiyo tutaitoa hapa sh.......pale sh.......na.....na...

Hivyo ndivyo wizara yake kivuli ya uchumi ilibidi ifanye mahesabu kabla ya kupayuka kwenye majukwaa elimu bure.

Huyu kwenye uchumi ni Mbumbumbu kabisaaaa

NO WAY, NO HOW, NO SLAA.

Zawadi Ngoda,

Dk. Slaa amekutajia mfano wa ubadhirifu na matumizi ya fujo ya pesa za umma kama 1 mil. kwa mabango. Tukiwa na Rais anayejali matatizo halisi ya wananchi, na anayetunza fedha za umma kama zake mwenyewe, yote anayoahidi yatatekelezeka.

Mimi nisema KURA KWA SLAA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Ni ujinga mkubwa tena wa uliopitliza mtu kuhoji kwamba elimu ya bure haiwezekani katika nchi hii, huo ni umbumbumbu wa mawazo au laa kujifanya kilaza makusudi tu ili kutetea hoja za kipuuzi.

Kama shida yako ni mchanganuo wa Pesa zitatoka wapi umeshapewa overview na kama unahitaji details soma ilani ya uchaguzi ya CHADEMA au uliza uambiwe siyo ku jump into conclusion kwamba HAIWEZEKANI. Mimi naona huhitaji akili nyingi kugundua hili ningetegemea kuulizwa swali la namna hii na mpigakura aliyoko IGAGULA au ISELAMAGAZI ambaye hata gazeti na Redio hana.

Unajua fika kwamba hakuna nchi iliyoendelea bila kuwekeza kwenye ELIMU, CHADEMA wamekuja na hoja ya kuwekeza kwenye ELIMU lakini watu hawataki kuelewa jamani hii nchi ni ya watu gani?

Mtu yeyote anayechezea chezea ELIMU huyu ni mbumbumbu FISADI na hana nia njema na taifa lake. Mwalimu aliweka vipaombele na ndiyo maana leo tunajidai eti amani na utulivu. Serikali ya CCM imevuruga mfumo wa elimu kabisa na juzi juzi waziri anatoa pumba zaidi anafikiri ELIMU ni kucheza mdako. Guys tufike mahala kwenye masuala ya msingi tuweke maslahi ya taifa mbele siyo ushabiki usio na manufaa.

Wewe kama una kimshahara chako unaringia, na una uhakika wa kulala na kushiba mwezi mzima hadi kamshahara kako kengine, kuna mwenzako ambaye anaishi chini ya sh 1000 kwa siku. ambaye anataka asomeshe mtoto kama wako, alalie walau kwenue godorona nyumba ya bati, acheni mambo ya ajabu ajabu ya kujenga hoja za kudanganya wananchi wasiamini yale ya msingi.
 
ZAWADI wewe ni limbukeni wa siasa za kihafidhina, mbona huzungumzii majibu ya Kikwete alipoulizwa kwa nini Tanzania ni maskini? Nina wasiwasi na uwezo wa kitivo chako cha kufikiri.
 
Zawadi and Kamala would make a perfect couple. Wote mambumbumbu...Hilo toto watakalozaa litakuwa ndondocha.
 
The House of Great Thinkers my... Hakuna hata mmoja wa kuweza kuandika kitu cha ku-refute!

jksanaa.jpg
 
Hata wanafunzi wa NABOCE watajibu vizuri sana kuliko huyu mtu hatari.originally posted by Zawadi Ngoda


Wewe mbumbumbu NABOCE ndiyo nini?Unafikiri wanaJF wote ni whasibu,issue za uhasibu peleka huko National Board of Accountants and Auditors(NBAA),bure kabisa!bora ya kufuga ng'ombe unaweza kuambulia maziwa!!!
 
Ushauri wako ni mzuri, LAKINI KATIKA VITU ULIVYOORODHESHA UMESAHAU HELKOPTA YA KUPIGIA KAMPENI.

NAusisahau kuhesabu gharama za helkopta toka kampeni za 2005 (Mbowe) na ule uchaguzi mdogo wa Mara. Nyani haoni kundule!!!!"!

Eti huyo mtu anayetumia gharama hizo kwa kampeni tu NDIO ANATUDANGANYA AKIINGIA IKULU YUPO TAYARI KULA MUHOGO

dada Zawadi unajua kuwa mojawapo ya helkopta anazotumia Kikwete kwenye kampeni imenunuliwa na Somaia? Je Somaia atafaikaje kwa kuteketeza mabilioni yake kununua helkopta hiyo? Unajua Somaia anafanya bishara gani? Je unaujua ufisadi wa Somaia? Je unatakata nchi hii iendelee kutafunwa na mafisadi kisa tu Kikwete aliye rafiki wa mafisadi na mnufaika wa ufisadi ni wa dini yako? Hapana dada Zawadi hatuwezi kupata maendeleo tukikalia kuangalia dini zetu badala ya kuangalia nani atatuletea maendeleo.
Nukuulize swali: Kwani Dr.Slaa ambaye ni mkatoliki akiwa rais wewe mwislamu unaathirika vipi? Nchi yetu inathamini uhuru wa kuabudu kwa dini zote. Make up your mind dadangu kwa ajili ya maendeleo yako na ndugu zako.
 
Kwa mara ya kwanza niliuangalia Mdahalo wa Mh Slaa kupitia Michuzi blog. Alipoulizwa maswali na mwendesha kipindi, hakika nawaeleza hakuna point aliyojibu. Kitu alichhofanya ni kama alivyofanya bungeni- alikuwa critical na wala hakutoa utatuzi wa tatizo.

Nitatoa mfano wa maswali haya mawili:

1. Mh Slaa, K AMPENI ZA MWAKA HUU ZIMELAUMIWA KUINGILIWA NA UDINI, NA CHADEMA KIMEKUWA KIKINYOSHEWA KIDOLE, NA PENGINE TUHUMA HIZO ZINAKULENGA WEWE Mh, wasemaje juu ya swala hilo?

Jibu: Nani asiyejua kuwa mimi ni mkatoliki au nani asiyejua kuiwa mimi nilikuwa Padre.......

Basi alibwabwaja hapo bila hata kujibu swali la msingi. Hatujakataa kuwa watanzania hawana dini zao wala hatujakataa kuwa watanzania na viongozi hawahudhurii misikitini na makanisani. Sasa ni nini anachotuambia hapo. Baada ya hapo akaja kwenye profesional yake ya kutoa critics kwa wengine. Huyu ni rais kweli au kichwa maji.

2. Elimu bure, utawezaje hilo.

Jibu: Mh Kikwete ameorder mabango ya picha yake ya kampeni toka Kanada. Na yamesafirishwa kwa ndege. Na yamesambazwa nchi nzima. Hata kule mtwara kuna nyumba inataka kuanguka lakini nje imebandikwa picha ya Kikwete. Gharama ya shughuli yote imeghalimu dola 1 mil.

Sasa hizo zingetumika kusomeshea wanafunzi zingetosha.

Kweli huyu mtu ni kichwa maji, wewe unaamini kweli kuwa dola 1 mil zinatosha kusomeshea wanafunzi tanzania nzima?

Majibu ya swali hilo yanahitajika yawe katika mtiririko ufuatao:

Idadi ya wanafunzi mwaka huu ni...........

Kila mwanafunzi anagharimu sh..........

Jumla ni sh..........

Pesa hiyo tutaitoa hapa sh.......pale sh.......na.....na...

Hivyo ndivyo wizara yake kivuli ya uchumi ilibidi ifanye mahesabu kabla ya kupayuka kwenye majukwaa elimu bure.

Huyu kwenye uchumi ni Mbumbumbu kabisaaaa

NO WAY, NO HOW, NO SLAA.
Hata maswali yenyewe hujayapatia, licha ya kutokuwa na upeo wa kuelewa mambo....! Nakushauri urejee tena kumsikiliza kwa makini...!
 
Naanza kupata picha kuwa kuna baadhi ya waislamu wako radhi shetani awe rais wa Tanzania lakini sio Dr. Slaa. Waislamu hawa wanamtazama Dr. Slaa kama padre wa katoliki na sio kama mpigania haki za watanzania wote.

Hawa ndio waislamu wasaliti ambao wanadhani kuwa muislamu ni jambo la lazima na sio hiari ya mtu. Wanashindwa kujua kuwa wao wenyewe hawajakamilika kwenye uislamu mbele ya macho ya mwenyezi mungu kwa kuwa ni wazinzi, hawatimizi nguzo tano za uislamu na ni washenzi tu.

Wanaona CCM chama cha wapagani ni bora kwa kuwa kinaongozwa na muislamu feki Jakaya daktari mwanasesere. Heri wangeunga mkono CUF!!!!!!

Wengi wa wanaompinga Dr. Slaa hapa wala hawana sababu nyingine....ni kwa sababu tu amewahi kuwa padre..basi. Watu hawaangalii ubora wa mtu bali udini wake??? kweli kuna wabongo bongo zao zimeoza. Maslahi ya taifa hamyaoni mnaona dini tu....propaganda za wazungu na waarab.

Pale Darfur waarabu wa Janjaweed walikuwa wanauwa waislamu wenzao kwa sababu tu ni weusi. Yaani kimsingi waarabu wengi hawaamini kama muisamu mweusi 'mnegro' kama anaweza kuwa muislamu kamili....wanaamini ni rangi ya laana. Ndivyo ilivyo kwa wahindu. Sasa nashangaa mbongo anapomtenga mbongo mwenzake eti kisa si muislamu.

Watanzania kama tumeamua kuwa wadini..basi bora kusiwe na uchaguzi....Kikwete atawazwe awe mfalme wa milele....bora yeye na familia yake watawale milele tufe kwa umaskini na ujinga na maradhi kuliko kufa kwa kukatana mapanga kisa tu sisi sio waislamu.

Vinginevyo mpaka sasa sijakata tamaa, naamini wako waislamu thabiti wasio na udini wa kijinga hivi...na ndio maana bado naamini katika Tanzania yenye demokrasia ya kweli itakayokuwa chini ya CHADEMA(Rais wa JMT Dr. Slaa) na CUF (Seif akiwa ni Rais wa Zanzibar).

AU PENGINE ZAWADI NGODA UNAAMINI KUWA CCM NI MTUME MUHAMAD KWAMBA KUWANG'OA NI DHAMBI , KWAMBA NI MANABII WA MWENYEZI MUNGU AU UNADHANI KIKWETE NI MWENYEZI MUNGU KWAMBA ATAKAYEPINGANA NAYE ATAKUFA????????????
 
Kama vipi waislam wamchague Kikwete na Lipumba, na wakristu Slaa ...itakula kwao hii maana Kikwete na Lipumba watagawana shia na sunna.

Acheni udini nyie!
 
Back
Top Bottom