Noah, alphard namba E kuuza korosho inaingia akilini au mimi ni maskini au njaa inanisumbua!!

Noah, alphard namba E kuuza korosho inaingia akilini au mimi ni maskini au njaa inanisumbua!!

fundi bishoo

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2018
Posts
14,264
Reaction score
27,132
Aisee huwa najiuliza sana mimi mtu wa kuzunguka sana kama mbwa riziki yangu iko miguuni huwa nakuta sana gari aina ya Alphard au Noah tena namba E inauza korosho na unakuta wamewasha AC kabsa hivi wanapata faida kweli au michongo tu nao waonekana wanafanya biashara mjini hapa 🤣🤣

mji una kazi huu aisee
#modsfutenitenanahuuuzi
#yesbishoohaswaaa🫡
 
Itakuwa ni hawa ninaowaona Mikocheni na Mwenge.. Gari yao wameibrand na inawezekana ni kiwanda cha korosho, sehemu kubwa ni kujitangaza kuliko kutegemea mauzo ya korosho yatayotakana kwenye hiyo gari.

Kwa kiwanda cha Korosho kikubwa kuwa na magari kwa ajili ya hiyo shughuli inawezekana, na matarajio yao yanafanya kazi mpaka umeshtuka na kuleta uzi maana yake wanaonekana.
 
Itakuwa ni hawa ninaowaona Mikocheni na Mwenge.. Gari yao wameibrand na inawezekana ni kiwanda cha korosho, sehemu kubwa ni kujitangaza kuliko kutegemea mauzo ya korosho yatayotakana kwenye hiyo gari.

Kwa kiwanda cha Korosho kikubwa kuwa na magari kwa ajili ya hiyo shughuli inawezekana, na matarajio yao yanafanya kazi mpaka umeshtuka na kuleta uzi maana yake wanaonekana.
wameendea sehemu nyiingi dsm sjidhan kama n mtu mmoja kama n kampuni moja badi kajipanga kwelikweli maanaga gari kali inauza korosho 🤣😁
 
aaah hyo sio kweli mkuu dsm hii hii v8 inauza mikoba..?😁
Unakuta binti gari kanunuliwa na kibopa kampa na mtaji kala ikabaki milioni 3 na anamlipia kila kitu na mafuta anamwekea hivyo haoni hatari kuchoma mafta ya 50000 akauza mkoba wa buku 20.
Nishashuhudia mama fulani anawasha gari ambazo mumewe anaweka mafuta anafunga safari toka wazo hadi kmara kuuza mashuka machache tu ya mtumba aliyopewa oda na wateja wake.
 
Aisee huwa najiuliza sana mimi mtu wa kuzunguka sana kama mbwa riziki yangu iko miguuni huwa nakuta sana gari aina ya Alphard au Noah tena namba E inauza korosho na unakuta wamewasha AC kabsa hivi wanapata faida kweli au michongo tu nao waonekana wanafanya biashara mjini hapa 🤣🤣

mji una kazi huu aisee
#modsfutenitenanahuuuzi
#yesbishoohaswaaa🫡

Umeshawahi kuuliza bei ya hizo korosho za kwenye Ac? wanauza sh.ngapi?na maeneo gani?.

Nenda coffee shop,wanauza kahawa tuu.ila ni ful AC.ila bei ya kikombe kimoja ni mtaji wote wa yule jamaa anayetembeza kawaha na kibirika chenye moto wa mkaa
 
Picha huwa linaanzia kwenye wese maana muda wote chuma huwa inaunguruma tuu.
 
Back
Top Bottom