Noah, alphard namba E kuuza korosho inaingia akilini au mimi ni maskini au njaa inanisumbua!!

Sasa kwani haujui Alphard ni gari ya kubebea bidhaa za sokoni? Gari za machinga hizo, kuuzia mitumba, mikate, matunda ndo kazi yake
 
Kuna wadada, age kama 35-42, wazuri warembo,,,, niliwafahamu kupitia jamaa yangu,wanatembelea kulger namba E,, wanauza sweta za watoto (uniforms), makoti ya wakubwa , jeans za wadada na vihereni kadhaa! Yani ni kamzigo kanakoishia tu kwenye boot ! Na wanafanya delivery,,,,hatari sana, kwenye gari full mziki na savannah zao.,,, nikasema hapa kuna jambo, sio bure ama wao wanajiuza au mambo ya money laundering,,,mji mzito sana !
Life style zao haziendani na kazi/kipato Chao kabisa,,,na hawana office
 
Umeshawahi kuuliza bei ya hizo korosho za kwenye Ac? wanauza sh.ngapi?na maeneo gani?.

Nenda coffee shop,wanauza kahawa tuu.ila ni ful AC.ila bei ya kikombe kimoja ni mtaji wote wa yule jamaa anayetembeza kawaha na kibirika chenye moto wa mkaa
aya pakti moja n bei gani
 
huu mji wanauweza wenyewe maana sku hizi wakuja ndo wanatunisha vifiua kwa wazawa 🤣🤣😁
 
Usiwe mdadisi sana kwenye biashara za watu, sembe linaliwa hapo ,usiseme sembe hii hii mjomba yake dona la hasha!
 
Kilo moja ya korosho si chini ya Shs. 20,000
 
Hii inaleta maana sasa, ila bila hii comment ningetunga yangu
 
Sorry jinsia yako please.
Fanya yako wao wanafanya Yao.
 
Karibu mjini....sitaki kujaribu biashara za watu...
 
Ya Ngoswe muachie Ngoswe!

Hawa wanautumia zaidi ya Mil 500 kutafuta ubunge ambao kwanza hawana uhakika wa kupata, pili malipo ya ubunge hayawezi rudisha hiyo pesa directly!

Maisha ni kamali!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…