Noah namba A nataka niibadili iwe namba C au D

Noah namba A nataka niibadili iwe namba C au D

Nakubaliana na wewe...pengine ana wazo hilo...

Lakini tukirudi upande mwingine, mtu makini anayetaka kununua gari lililotumika hapa bongo, haangalii namba kwanza, anaangalia hali ya gari kiutendaji na ilivyotunzwa, then mambo ya namba yanafuata baadae..

Kwa bahati mbaya watz tuna utamaduni wa kukimbikia gari zenye mile age chache na namba D kwa sasa....kumbe wahuni na madalali wabovu wamejificha huko kwenye namba D na mile age chache....coz mile age zinachezewa tu zinashushwa...

Gari inaweza ikawa D matatizo kibao ila mteja akashawishika kisa ni D na mteja akaacha namba A au B iliyo kwenye hali nzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
Cha ajabu, mwanamke mwenye mile age nyingi wanabeba.

Afu kwan iyo namba D haita pitwa na wakati!
 
Number sio kitu ,hapa mjini kuna magari no A au B na yamenyooka sana ,na kuna no D zimechoka mbaya .Inategemea na utunzaji.
Tumia muda wako kuyakagua ma L/Cruiser no A utakuja kukubali.
 
Haiwezekani...
pili tujenge utamaduni wa kukubaliana na hali halisi...

Ukikuta mtu ana gari namba A linatembea bila shida, mheshimu kwa sababu ni ishara kuwa ni mtunzaji na anajua kujalu...

Mwenye gari aina ya Noah namba A na Mwenye gari aina ya Noah namba D wote wakianza safari Dar kuja Arusha, destination yao itakuwa ni Arusha wote...na wote wataikuta Arusha jinsi ilivyo..
Haina maana kwamba mwenye namba D ataikuta Arusha kama Chicago na mwenye namba A ataikuta Arusha kama Simiyu..

Naendelea kusisitiza tujenge utamaduni wa kukuoenda tulichonacho na chenyewe kitatupenda...




Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, hawawezi kukuelewa kabisa, watu wanaangalia namba na sio gari
 
Kikubwa ni barabara za hapa bongo sio rafiki mtu anakaa mabondeni huko km 5 toka barabara kuu miezi sita tu IST haitamaniki...

Sema hela tu hakuna hapa bongo si pa kununa fari za chini asee
Ni kweli kabisa...
Sababu yamsingi unakuta gari ndogo umegongwa gongwa sana sehemu za chini kww sababu inakuwa inagusa baadhi ya mawe au matuta kwenye barabara mbovu ..
sababu nyingine gari ndogo unaweza kukuta imetumiwa kama taxi kwa muda au Uber....hivyo inkuwa imepitia dhoruba nyingi



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cruisee sawa ila hvi vi toyota IST, ALLEX,PASSOA labda uotee ya muhindi ila sio ya kina sie tunaokaa madongo kuinama huko aseee..

Miezi sita tu gari ipo ka kopo la bia
Number sio kitu ,hapa mjini kuna magari no A au B na yamenyooka sana ,na kuna no D zimechoka mbaya .Inategemea na utunzaji.
Tumia muda wako kuyakagua ma L/Cruiser no A utakuja kukubali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda kwa wakala wa bima, anakuuzia card ya Noah iliyopiga mzinga na namba D maisha yanasonga
 
Nakubaliana na wewe kabisa kupitia my personal experience,Last year nilikuwa na gari yangu yenye namba za zamani and within hours tokea nimeitangaza ilipata mteja ambaye alinipa Bei nzuri mnoo na pengine kushinda hata baadhi ya gari latest lililoingizwa sokoni,Aliyelinunua alishangazwa na ubora wake ambapo ilimpelekea kuamini kwamba the car must have been maintained properly and the case was true,gari yangu mostly ilikuwa naipaki kwenye garage nyumbani and within a year ikitembea sana haivuki 4000kms with good maintainance history,Therefore quality of the car matters kuliko namba otherwise labda awe anataka kuficha matatizo ya gari Kwa mteja kupitia new plate no.
Naunga mkono hoja...
Nina ushuhuda kwa watu kubambikiwa magari mabovu kwa kuangalia namba D au Low mile age..



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina kili time namba A ni mwaka wa 12 sasa ndio kwanza imekula elfu 98kms,niliipata ikiwa imetumika kwa elfu 32kms,sijawahi kuipiga rangi.
Sijawahi kuwaza kuiuza ingawa namba (gari ndogo) B na C gari zingine nimeziuza.
Kama gari ikitunzwa vizuri kwa Services na usafi haichakai na haichoshi.

Sent using Jamii Forums mobile app
This is the fact which most of us don't know..
We are concentrating on latest plate numbers and low mileage....



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unataka kuuza au kuoshea?....

Uza nunua namba D..... ila gari kua namba A au B siku zote sio kwamba ni ya zamani.
 
Jamani nina Noah namba A nzima kinyama nataka niifanye iwe namba D ili nami naanze kuwaoshea na D yangu, je naweza kubandika Chassis namba nyingine ya kadi namba D? Au nifanyeje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Namba isikuumize kichwa, we ipe service ya kutosha na vipuri vya uhakika, hapo utaifurahia, kuna gari za mikoani kama Abood ina namba A lakini ni dar mbeya bila usumbufu.

UBHULONDO bhukupela IKIPAHO.
 
Huu mchezo watu wanaucheza sana hasa wanapotaka kuuza magari ....maana wengi wanaangalia numbe D ...WANAJIKUTA WAMEPIGWA

nenda TRA ...kuna wakali wa hizo mambo , uwe mwepesi kupenyeza rupia

sent from toyota Allex
 
Huu mchezo watu wanaucheza sana hasa wanapotaka kuuza magari ....maana wengi wanaangalia numbe D ...WANAJIKUTA WAMEPIGWA

nenda TRA ...kuna wakali wa hizo mambo , uwe mwepesi kupenyeza rupia

sent from toyota Allex
Ni sawa na bibi kumfanyia makeup ili aonekane binti....
Still atakuwa ni bibi..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom