Noebillions ni tapeli mkubwa wa forex Tanzania

Umetapeliwa kwasababu umeongozwa na tamaa kufanya na sio akili kufanya maamuzi.

Jamaa hajatumia hata akili kubwa.ila siku nyingine mambo yanayo husiana na hela hakikisha HUDUMA IANZWE NDIO HELA IMALIZIE...vinginevyo achana nazo, mtu kama ni legit atakubali HUDUMA YA MALIPO YA BAADA YA HUDUMA.
 
Boss nakusubiri, au nitajie jina la firm , nikapige kazi. Wengine hizi shughuli tunazifanya, na Mungu anasaidia. Hatuzichukuliii kama stry za wengi wasioelewa kitu. Naomba unitajie hata jina la firm au uniachie namba yako.
 
Hawana Hela ya sokisi, hahaaaa
 
Bado wanasumbua saaaana
Kuna third party hapo ambae Ni Astropay, kugenerate code anatumia masaa matatu
Tofauti na wenzako kama Justforex ambae Ni sekunde tu Bila ya kuwepo na huyo third party
 
Hivi mimi kweli nna pesa za FX nihangaike na $50 za kukuza acct za watu? Huo muda wa kufanya upuuzi huo sina. Na yeyote anayepata pesa kwa fx hana upuuzi wa kuuza signal wala kufanya mentoring.
Mmojawapo ni mimi. Kuna siku nakaa masaa karibia 8 sijaona entry unataka mimi nikukuzie account yako? Hell no
$50 ni position moja tu ikimove pipsi 10 on my side. Kwanini nihangaike na vijisent vyako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…